Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Indi mkafu dada utwa po uliPanandi kaka Mwaghona?
Indi mkafu dada utwa po uliPanandi kaka Mwaghona?
BoraNi kweli mama mchungaji
Ila njia ipo rahisi ya kuwaweza
Mkiwa watatu tu kazi imekwisha hawaibi
Mkuu mi wote nawapa nafasi sawa maana wanafanya vitu ambavyo vinanifanya nianagalie mpira kwa raha zaidi maana kila mmoja ana vitu vya kuvutia na huwa ninapo pata nafasi ya kuwaangali wakiwa uwanjani ni burudani kwangume ni shabiki wa Man United ila sijawahi kumchukia Messi, labda ile kiunazi ili nimpambe Ronaldo, hawa jamaa tuwaache tu wanaishi wenyewe katika dunia yao
Kaka, Ronaldinho, Ronaldo9, Zidane, Rivaldo na wengine kama Owen, Bergkamp, Klueviet, Okocha, Giggs, Cantona na wengine wengi tu waliishi ktk dunia moja
Unapomkubali Messi na kumkataa Ronaldo nitakuona wewe ni mshabika na sio mtu wa mpira
usijisifu una mbio msifiu na anaekukimbiza
don't take them for granted lol
we unamkubali nani kati yao Mndali??
[HASHTAG]#BringBackOurSakayo[/HASHTAG]Pole ila amini watu wengi huwa hawapendi wenzao wafurahi na ukiwapa nafasi utaumia naombq mwambie Sakayo a follow her heart please as long as wahusika wanakiri hakunz mtu aliyewakataza why worry,kama ingetokea kauli hii imetoka hapa sawa,msimhisi mtu msikilize mtu nitafurahi kama tutaendelea kuwa na amani na furaha kama mwanzo,matatizo huwa hayakimbiwi yanatatuliwa so kwa hapa lipo solved tuishi kwa amani na upendo I really miss Sakayo.![]()
NyageiUbarikiwe
Ila upunguze mapenzi mkuu
Kweli mkuuNi kama wanachama wa li-pumba kwenye mkutano wa mzee wa sawasawa!!!![]()
Siku hizi kuna shida mpya inaitwa Mbape ipo MonacoMkuu mi wote nawapa nafasi sawa maana wanafanya vitu ambavyo vinanifanya nianagalie mpira kwa raha zaidi maana kila mmoja ana vitu vya kuvutia na huwa ninapo pata nafasi ya kuwaangali wakiwa uwanjani ni burudani kwangu
Wao wanasema ni bora kumshabikia barc kuliko Madrid na kisa wanasema Ronald katoka manMbona Messi aliwafunga Arsenal goli nne na wanampenda???.....
Njema karibu mkuu jana nilikua nakutafutia soko la kuku wakauliza kilo lakini wakahitaji kuwaona nikashindwa kama watakuapo hadi jumatano siku ya muungano tuwasilianeHabarini za mchana Makapuku
Mwambie aje tunampenda tunammisMadam Sakayo anawapeni Hi
In bodyguard voice
Naam mama mchungajiNyagei
KabisaNi bora hata walivyohamisha uwanja maana bombardier isingetua pale
safi kwema mkuuHabarini za mchana Makapuku
TununuIndi mkafu dada utwa po uli
Kwani kapotea??[HASHTAG]#BringBackOurSakayo[/HASHTAG]
Yule dogo yuko vizur sana sijui kama atabaki pale Monaco msimu ujaoSiku hizi kuna shida mpya inaitwa Mbape ipo Monaco
Nashukuru sana mama mchungaji kwa kunijaliNjema karibu mkuu jana nilikua nakutafutia soko la kuku wakauliza kilo lakini wakahitaji kuwaona nikashindwa kama watakuapo hadi jumatano siku ya muungano tuwasiliane
Namshukuru Mungu sijamboNaam
Uhali gani mama mchuchu