Makapuku Forum

Makapuku Forum

me ni shabiki wa Man United ila sijawahi kumchukia Messi, labda ile kiunazi ili nimpambe Ronaldo, hawa jamaa tuwaache tu wanaishi wenyewe katika dunia yao
Kaka, Ronaldinho, Ronaldo9, Zidane, Rivaldo na wengine kama Owen, Bergkamp, Klueviet, Okocha, Giggs, Cantona na wengine wengi tu waliishi ktk dunia moja

Unapomkubali Messi na kumkataa Ronaldo nitakuona wewe ni mshabika na sio mtu wa mpira

usijisifu una mbio msifiu na anaekukimbiza

don't take them for granted lol

we unamkubali nani kati yao Mndali??
Akikujibu nisitue
 
Id ilikuwa mpya,..siijui mkuu..! Sio ya humu

Bad enough nilifuta pm yake kwa hasira..
Pole ila amini watu wengi huwa hawapendi wenzao wafurahi na ukiwapa nafasi utaumia naombq mwambie Sakayo a follow her heart please as long as wahusika wanakiri hakunz mtu aliyewakataza why worry,kama ingetokea kauli hii imetoka hapa sawa,msimhisi mtu msikilize mtu nitafurahi kama tutaendelea kuwa na amani na furaha kama mwanzo,matatizo huwa hayakimbiwi yanatatuliwa so kwa hapa lipo solved tuishi kwa amani na upendo I really miss Sakayo.
Mtata sana huyu jamaa
 
Pole ila amini watu wengi huwa hawapendi wenzao wafurahi na ukiwapa nafasi utaumia naombq mwambie Sakayo a follow her heart please as long as wahusika wanakiri hakunz mtu aliyewakataza why worry,kama ingetokea kauli hii imetoka hapa sawa,msimhisi mtu msikilize mtu nitafurahi kama tutaendelea kuwa na amani na furaha kama mwanzo,matatizo huwa hayakimbiwi yanatatuliwa so kwa hapa lipo solved tuishi kwa amani na upendo I really miss Sakayo.
Mimi post yangu inahusiana na leo katika historia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom