Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,928
Bali?Sina wivu kabisa
Bali?Sina wivu kabisa
Akikujibu nisitueme ni shabiki wa Man United ila sijawahi kumchukia Messi, labda ile kiunazi ili nimpambe Ronaldo, hawa jamaa tuwaache tu wanaishi wenyewe katika dunia yao
Kaka, Ronaldinho, Ronaldo9, Zidane, Rivaldo na wengine kama Owen, Bergkamp, Klueviet, Okocha, Giggs, Cantona na wengine wengi tu waliishi ktk dunia moja
Unapomkubali Messi na kumkataa Ronaldo nitakuona wewe ni mshabika na sio mtu wa mpira
usijisifu una mbio msifiu na anaekukimbiza
don't take them for granted lol
we unamkubali nani kati yao Mndali??
True callerjaman samahani anaijuwa namna ya kufunga simu yaan call zisiingie ila staki iseme namba iko busy ?
Anisaidie tafadhali
Simu zinatofautiana kuna unazoweka namba blacklist au download 360 security ina application ya kublock callsjaman samahani anaijuwa namna ya kufunga simu yaan call zisiingie ila staki iseme namba iko busy ?
Anisaidie tafadhali
nipe maelekezo yake mkuuTrue caller
Ipakue hiyo kwenye simu yako
blacklist si ukiweka inasema busy sasa mimi staki iseme busy mkuuSimu zinatofautiana kuna unazoweka namba blacklist au download 360 ina application ya kublock calls
Ndiyo mkuuLugha gani hiyo, au ni kindali
Nqmshukuru sanq Mungu sijamboAhsante mamy,umeamkaje lkn
Goodmorning sir ,you good?Have q wonderful and Blessed week aheadGoodmorning the family

Panandi kaka Mwaghona?Mama mchungaji gwalembuka?
Asante karibuTukutane jioni kwenye Top 10
Siku njema
....
Pole ila amini watu wengi huwa hawapendi wenzao wafurahi na ukiwapa nafasi utaumia naombq mwambie Sakayo a follow her heart please as long as wahusika wanakiri hakunz mtu aliyewakataza why worry,kama ingetokea kauli hii imetoka hapa sawa,msimhisi mtu msikilize mtu nitafurahi kama tutaendelea kuwa na amani na furaha kama mwanzo,matatizo huwa hayakimbiwi yanatatuliwa so kwa hapa lipo solved tuishi kwa amani na upendo I really miss Sakayo.Id ilikuwa mpya,..siijui mkuu..! Sio ya humu
Bad enough nilifuta pm yake kwa hasira..
Mtata sana huyu jamaa
Shunie amekubali unimiss?Bhaaaanaaah nimekumis
Mimi post yangu inahusiana na leo katika historiaPole ila amini watu wengi huwa hawapendi wenzao wafurahi na ukiwapa nafasi utaumia naombq mwambie Sakayo a follow her heart please as long as wahusika wanakiri hakunz mtu aliyewakataza why worry,kama ingetokea kauli hii imetoka hapa sawa,msimhisi mtu msikilize mtu nitafurahi kama tutaendelea kuwa na amani na furaha kama mwanzo,matatizo huwa hayakimbiwi yanatatuliwa so kwa hapa lipo solved tuishi kwa amani na upendo I really miss Sakayo.![]()
Nimemquote T wa Sakayo au nimekosea NAOMBA NISAMEHE MKUUMimi post yangu inahusiana na leo katika historia
Mashudu yanapatikana?Inalimwa ila ni kidogo sana