Makapuku Forum

Makapuku Forum

Lakini sio rahisi kivile coz ukitaka kufanya hivyo lazima ujifanye rafiki wa wananchi, wabunge, mahakama na wana jeshi sasa yeye hapendwr kutokana na miropoko yake na kubania maslahi ya baadhi yao
Atapata upinzani mkubwa

Hiyo ni rasimu ya katiba hivyo siyo katiba kamili ni km muswada ila bado haijawa sheria hadi process zikamilike ikiwemo kusainiwa na Rais
.......
Hakuna ugumu wowote, kama jeshi liko chino yake tena kwa msukuma mwenzake, Bunge halina meno ni kiasi cha kutoa order tu.

Wananchi hatuna maajabu ndugu yangu, akiamua hashindwi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom