Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu mi nashukuru tu maana naona maada yoyote inanoga inapo kuwa na kila kitu ndani na kwenye uzi huu tunajifunza mambo mengi sana na tunapo ona utani mapenzi vinafanya tufurahie uzi
Hakuna MTU(HATA MIMI) anayeweza kupangia kipi kiwepo au kisiwepo ...ugomvi na matusi ndo havikubaliki

Ila tu huwa tunakubaliana kwa pamoja km kuna mapungufu tunajadili...hivyo kilichosemwa ni kwamba watu ambao hawana vipindi wajitahidi kubuni na wao ili kuboresha thread


...........
 
c42e1d65ef69c1036940dde2a17359f6.jpg
Sepenga CHADEMA
Kidoti CCM
ngoja tuone battle

Shukrani kwa magazeti
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom