Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Na kwako pia mama mchungajiGoodmorning T wa Sakayo asante kwa Nukuu ya leo uwe na wiki njema ya baraka![]()
Na kwako pia mama mchungajiGoodmorning T wa Sakayo asante kwa Nukuu ya leo uwe na wiki njema ya baraka![]()
UshindweeeeeUbingwa unaukosa
MorningMoooooorning wakuu mko pwoaaaa
Le inspectormakapuku habar za usubuhi
Bhaaaanaaah nimekumisMie sijakumiss hata kidogo![]()
Pamojaa kiongoziilee empire shukran kiongozi kwa magazetii
Barikiwa BlessedHope..KINYWA CHAKO KIJAZWE NINI ILI KUMTUKUZA MUNGU NAKUWATIA MOYO WENGINE
ZABURI 71:8
Kinywa changu kitajazwa sifa zako,Na heshima yako mchana kutwa.
Tunapoianza siku mpya na wiki mpya hebu vinywa vyetu vijazwe furaha,upendo,uponyaji tunene maneno ya kuinuana na kumsifu Mungu kila wakati.
Tuwe waponyaji ,wafariji,watia moyo tukitamani kuona kila mtu anafurahia uumbaji na anauishi upendo...
Haijalishi unapitia changamoto gani..mahali hapa pawe faraja na nafasi ya kujiona kuwa unayosababu ya kuendelea kuwepo na kufurahia baraka tele Mungu anazotujalia
Vinywa vyetu vijazwe sifa na heshima kwa Mungu Baba ili duniani pawe mahali pazuri pa kuishi na kuwasaidia wengine wajisikie vizuri.
Tunakushukuru Mungu kutufikisha umbali huu hakika wewe ni Ebenezer,
Umetutoa mbali na hujawahi kutuacha wakiwa.
Asante kwa siku ya leo na wiki inayoanza leo tembea pamoja nasi.
Tunaomba kibali chako katika kila jambo tutakalotenda,Tupe kauli njema,tupe Roho ya Upendo,na kunyenyekea mbele zako.
Tuweke mbali na kuonewa,magonjwa,chuki,mikosi,hila na ajali mbaya.
Tupe ujasiri Amani na Imani katika Kristo Yesu kupitia jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen
WIKI NJEMA
KAZI NJEMA
JUMATATU NJEMA
MBARIKIWE
Pamojaa kiongoziiNUKUU YA LEO
Those who fight corruption should be clean themselves
Watu wanaopambana na Rushwa wanapaswa kuwa wasafi
![]()
Hayo yalipata kutamkwa na Rais was wa sasa wa Russia Bw. Vladimir vladimirovich Putin aliezaliwa 7/10/1952 katika jiji la Sait Petersburg nchini Russia.
Kitaaluma Putin ni mwanasheria na alihitimu shahada ya sheria chuo kikuu cha Sait petersburg mwaka 1975.
Putin alikuwa ni afisa usalama wa Russia Komitet Gosudarstvennoj Bezopasnosti (KGB) kwa miaka 16 .
Amefanya kazi kama afisa usalama wa kimataifa, majukumu yake mengi yalikuwa ni ya kushughulika na nchi za kigeni..
Mwaka 1991 Putin alianza siasa Rasmi akiwa na cheo cha luteni Kanali wa KGB.
Putin amekuwa Waziri mkuu na Rais wa Russia kwa nyakati 2 tofauti kwa kila cheo..
![]()
![]()
![]()
Uongozi wake wa kwanza mwaka 2000-2008 ulikuza uchumi wa Urusi na kuongeza purchasing power kwa 72%
Putin anaamini Rushwa ni adui wa haki, ukipigana kuondoa Rushwa lazima uwe msafi kwanza.
Putin anafahamika kwa uongozi makini huku akitaka Urusi iwe taifa lenye nguvu zaidi duniani japo ukweli unabaki kuwa marekani ataendelea kuleta changamoto kwa urusi .
Hata Tanzania tukitaka kupambana na Rushwa, basi wale tunapambana nayo tuwe na mikono safi..
Gooodmorning.
Asante mama mchuchuAsante Lee Empire wa Shunie kwa magazeti na unbeliavable facts,ubarikiwe uwe na wiki njema ya baraka![]()
Asante mtumishiKINYWA CHAKO KIJAZWE NINI ILI KUMTUKUZA MUNGU NAKUWATIA MOYO WENGINE
ZABURI 71:8
Kinywa changu kitajazwa sifa zako,Na heshima yako mchana kutwa.
Tunapoianza siku mpya na wiki mpya hebu vinywa vyetu vijazwe furaha,upendo,uponyaji tunene maneno ya kuinuana na kumsifu Mungu kila wakati.
Tuwe waponyaji ,wafariji,watia moyo tukitamani kuona kila mtu anafurahia uumbaji na anauishi upendo...
Haijalishi unapitia changamoto gani..mahali hapa pawe faraja na nafasi ya kujiona kuwa unayosababu ya kuendelea kuwepo na kufurahia baraka tele Mungu anazotujalia
Vinywa vyetu vijazwe sifa na heshima kwa Mungu Baba ili duniani pawe mahali pazuri pa kuishi na kuwasaidia wengine wajisikie vizuri.
Tunakushukuru Mungu kutufikisha umbali huu hakika wewe ni Ebenezer,
Umetutoa mbali na hujawahi kutuacha wakiwa.
Asante kwa siku ya leo na wiki inayoanza leo tembea pamoja nasi.
Tunaomba kibali chako katika kila jambo tutakalotenda,Tupe kauli njema,tupe Roho ya Upendo,na kunyenyekea mbele zako.
Tuweke mbali na kuonewa,magonjwa,chuki,mikosi,hila na ajali mbaya.
Tupe ujasiri Amani na Imani katika Kristo Yesu kupitia jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen
WIKI NJEMA
KAZI NJEMA
JUMATATU NJEMA
MBARIKIWE
Uwe na siku njema mkuu..Pamojaa kiongozii
Asante mkuu maana nimewaza nikafika mbali sanaHakuna kitu km hicho
Iliongelewaga tu kwamba vipindi viongezwe(ilikumbishwa kwacambao wanaweza kubuni vitu) ili thread iongeze mvuto kwa kuwa na vitu vingi
Hatujafika huko
Hivyo sio kweli
Asubuhi njema
...
...
Somo zuri msma mchungajiKINYWA CHAKO KIJAZWE NINI ILI KUMTUKUZA MUNGU NAKUWATIA MOYO WENGINE
ZABURI 71:8
Kinywa changu kitajazwa sifa zako,Na heshima yako mchana kutwa.
Tunapoianza siku mpya na wiki mpya hebu vinywa vyetu vijazwe furaha,upendo,uponyaji tunene maneno ya kuinuana na kumsifu Mungu kila wakati.
Tuwe waponyaji ,wafariji,watia moyo tukitamani kuona kila mtu anafurahia uumbaji na anauishi upendo...
Haijalishi unapitia changamoto gani..mahali hapa pawe faraja na nafasi ya kujiona kuwa unayosababu ya kuendelea kuwepo na kufurahia baraka tele Mungu anazotujalia
Vinywa vyetu vijazwe sifa na heshima kwa Mungu Baba ili duniani pawe mahali pazuri pa kuishi na kuwasaidia wengine wajisikie vizuri.
Tunakushukuru Mungu kutufikisha umbali huu hakika wewe ni Ebenezer,
Umetutoa mbali na hujawahi kutuacha wakiwa.
Asante kwa siku ya leo na wiki inayoanza leo tembea pamoja nasi.
Tunaomba kibali chako katika kila jambo tutakalotenda,Tupe kauli njema,tupe Roho ya Upendo,na kunyenyekea mbele zako.
Tuweke mbali na kuonewa,magonjwa,chuki,mikosi,hila na ajali mbaya.
Tupe ujasiri Amani na Imani katika Kristo Yesu kupitia jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen
WIKI NJEMA
KAZI NJEMA
JUMATATU NJEMA
MBARIKIWE
Yaleyale ya BashieNUKUU YA LEO
Those who fight corruption should be clean themselves
Watu wanaopambana na Rushwa wanapaswa kuwa wasafi
![]()
Hayo yalipata kutamkwa na Rais was wa sasa wa Russia Bw. Vladimir vladimirovich Putin aliezaliwa 7/10/1952 katika jiji la Sait Petersburg nchini Russia.
Kitaaluma Putin ni mwanasheria na alihitimu shahada ya sheria chuo kikuu cha Sait petersburg mwaka 1975.
Putin alikuwa ni afisa usalama wa Russia Komitet Gosudarstvennoj Bezopasnosti (KGB) kwa miaka 16 .
Amefanya kazi kama afisa usalama wa kimataifa, majukumu yake mengi yalikuwa ni ya kushughulika na nchi za kigeni..
Mwaka 1991 Putin alianza siasa Rasmi akiwa na cheo cha luteni Kanali wa KGB.
Putin amekuwa Waziri mkuu na Rais wa Russia kwa nyakati 2 tofauti kwa kila cheo..
![]()
![]()
![]()
Uongozi wake wa kwanza mwaka 2000-2008 ulikuza uchumi wa Urusi na kuongeza purchasing power kwa 72%
Putin anaamini Rushwa ni adui wa haki, ukipigana kuondoa Rushwa lazima uwe msafi kwanza.
Putin anafahamika kwa uongozi makini huku akitaka Urusi iwe taifa lenye nguvu zaidi duniani japo ukweli unabaki kuwa marekani ataendelea kuleta changamoto kwa urusi .
Hata Tanzania tukitaka kupambana na Rushwa, basi wale tunapambana nayo tuwe na mikono safi..
Gooodmorning.
Na ndomana huyu jamaa kato hawezi faulu ,katika vita zakeYaleyale ya Bashie
Anapambana na filamu feki wakati yeye ana vyeti na majina feki
Ni kichekesho
....

Au kudeal na wauza unga afu unapokea pesa na magari kutoka wauza unga.Yaleyale ya Bashie
Anapambana na filamu feki wakati yeye ana vyeti na majina feki
Ni kichekesho
....
Kila kitu kina umuhimuAsante mkuu maana nimewaza nikafika mbali sana
kweli kabisa kiongoziKila kitu kina umuhimu
Mfano mabaki ya chakula hutumika kulishia mifugo ndo ilovyo pia kwenye ishu zetu
Ingekuwa stori za mapenzi haziruhusiwi thread isingeweza kufika ilipofika
Thread hii haichoshi sababu ina vitu mchanganyiko
.........
Mkuu mi nashukuru tu maana naona maada yoyote inanoga inapo kuwa na kila kitu ndani na kwenye uzi huu tunajifunza mambo mengi sana na tunapo ona utani mapenzi vinafanya tufurahie uziKila kitu kina umuhimu
Mfano mabaki ya chakula hutumika kulishia mifugo ndo ilovyo pia kwenye ishu zetu
Ingekuwa stori za mapenzi haziruhusiwi thread isingeweza kufika ilipofika
Thread hii haichoshi sababu ina vitu mchanganyiko
Pia hata waokota makopo mitaani wana umuhimu maana husaidia kusafisha mazingira
.........
Au kudeal na wauza unga afu unapokea pesa na magari kutoka wauza unga.
Bashite samtaimu anachekesha sanaNa ndomana huyu jamaa kato hawezi faulu ,katika vita zake![]()
![]()
![]()