Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ukakasi upi mkuu?
Kila mtu ana uandishi wake hatufanani
Shumie kasema kaambiwa asalimie na "hajui atarudi lini" rafiki yake
Sasa nimeuliza kwanza km kuna mtu kamkwaza?
Zen nimemaliza kwamba watu huondoka na huja wengine na maisha kuendelea

Sasa tatizo lipo wapi?
Nimemfukuza?
Nimemwambia asirudi?
Tusipende kukuza mambo
...........
Ndo maana nimekwambia umemaliza vibaya ...we live as family make kwa upeo wangu tu mdogo kisaikolojia statement yako ina option mbili...

Anyway tusiyakuze let's asume anatoka mtu anaingia mtu....over mkuu
 
Ukakasi upi mkuu?
Kila mtu ana uandishi wake hatufanani
Shumie kasema kaambiwa asalimie na "hajui atarudi lini" rafiki yake
Sasa nimeuliza kwanza km kuna mtu kamkwaza?
Zen nimemaliza kwamba watu huondoka na huja wengine na maisha kuendelea

Sasa tatizo lipo wapi?
Nimemfukuza?
Nimemwambia asirudi?
Tusipende kukuza mambo
...........
sio kweli
tusikuze mambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom