Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Inategemea na maeneo kama upo karibu na mashine za kusaga hizi au vijijini ni rahisi kuwafuga bila gharama kubwa.Sawa mkuu ila nimeona kuwafuga ndani ya uzio ni ni ngumu sana na garama zinakuwa kubwa
Mjini kuna chakula kinauzwa kama 35k kina ujazo wa 25kg kinaitwa Concentrate sharti ni lazima ukichanganye na debe saba za Pumba. Ila ukiamua unaweza maana soko Lake ni kwenye mahoteli makubwa
