Mpendwa Bwana Yesu ,kama vile kuku awafunikavyo vifaranga wake kwa mbawa zake ili kuwaweka salama ,tulinde sisi Makapuku popote kila mmoja alipo usiku huu,chini ya mbawa zako za huruma ,Damu yako ya thamani inene mema kwetu itufunike..malaika walinzi waweke vituo kwa kila mmoja wetu na familia zetu..Amen
Usiku mwema wapendwa mbarikiwe