Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wadau, tunaendelea tena na kipengele cha muziki hususani upande wa nyuzi aka gitaa. Na bado tuko Magharibi mwa Afrika.

Tunamwangalia nguli wa gitaa na muziki aliyejulikana sehemu nyingi ulimwenguni, huyu ni Ali Farka Toure, mshindi wa tuzo ya Grammy, ndiyo Grammy mwaka 1994 akishirikiana na Ry Cooder. Na sio Grammy moja tu, alishinda tuzo hizi mara mbili.
Ali Ibrahim Farka alijulikana kama 'godfather of the desert blues", kwa mujibu wa gazeti la The Guardian la Wednesday 8 March 2006 10.40 EST.
Ali Farka alifariki mwaka 2006. na kwa kuheshimu mchango wake, radio za serikali zilisitisha matangazo mengine na kucheza nyimbo zake siku nzima.


Hii hapa ni clip toka YouTube hapa akitumbuiza na gwiji la kora Toumani Diabaté



Hadi wakati mwingine tena, kwa wale wapenzi wa sauti za 'magitaa'
 
Mpendwa Bwana Yesu ,kama vile kuku awafunikavyo vifaranga wake kwa mbawa zake ili kuwaweka salama ,tulinde sisi Makapuku popote kila mmoja alipo usiku huu,chini ya mbawa zako za huruma ,Damu yako ya thamani inene mema kwetu itufunike..malaika walinzi waweke vituo kwa kila mmoja wetu na familia zetu..Amen

Usiku mwema wapendwa mbarikiwe
 
Bitoz asante nimeyaona
lee empire mjomba asante kwa magazeti
Transcend uzi unakimbizwa sana yaani ukiamka kama kumekuchwa
Shunie magazeti hayana formula, inabidi yawekwe asubuhi, mchana na jioni

Hawa kwa namna walivyolike, nina mashaka kama walisoma magazeti
Sakayo , mkubhi , Clkey

BlessedHope hujambo ? (unaponijibu usiwe unaniita mkuu tafadhari)
40b36e244bafd4e9ade7ce571090c57a.jpg
2720732612c7a7e9b8296fc304a23516.jpg
Jifunzeni tu kutumia "search" kutafuta mambo muhimu mnayoyapenda mfano magazeti, historia, nukuu n.k
Kurudia kupost kitu ni kujaza tu thread
Thread yenyewe ina post za kufa mtu
........
 
Homegirl punguza jazba..hutaniwi na wewe chalii ake
Ni kwann watu wanahis Ar wanawake ni wakorofi lkn , lkn pia kwa hyo picha Ar pana baridi kma kipindi hiki kwa hyo usivae sweta ama koti kisa waenda kutana na mtu kesho ukiumwa kifua kisa fasheni itakuwaje? Mtuache bwana masela wetu wanatukubali mbona labda nyie wa mikoani
 
Wadau, tunaendelea tena na kipengele cha muziki hususani upande wa nyuzi aka gitaa. Na bado tuko Magharibi mwa Afrika.

Tunamwangalia nguli wa gitaa na muziki aliyejulikana sehemu nyingi ulimwenguni, huyu ni Ali Farka Toure, mshindi wa tuzo ya Grammy, ndiyo Grammy mwaka 1994 akishirikiana na Ry Cooder. Na sio Grammy moja tu, alishinda tuzo hizi mara mbili.
Ali Ibrahim Farka alijulikana kama 'godfather of the desert blues", kwa mujibu wa gazeti la The Guardian la Wednesday 8 March 2006 10.40 EST.
Ali Farka alifariki mwaka 2006. na kwa kuheshimu mchango wake, radio za serikali zilisitisha matangazo mengine na kucheza nyimbo zake siku nzima.


Hii hapa ni clip toka YouTube hapa akitumbuiza na gwiji la kora Toumani Diabaté



Hadi wakati mwingine tena, kwa wale wapenzi wa sauti za 'magitaa'

Naanza kuzipenda sasa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom