BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
I see!UF..![]()
I see!UF..![]()
Nguvu ya msamaha hubadilisha watu
tujifunze kusameheThinkers..hapa tunashindwa kuwabaini wauaji ,na wanaendeleza mauaji
Sio mtu wa mbwembwe za mapenzi
Hivyo sinaga sana stori za mapenzi......hata km kuna kapuku yupo hapahapa natembea nae hamuwezi kujua
I'm silent killer
...............
hahahahaNasikia Bashite aliua paka kijijini kwao huko Koromije ndio maana anasumbua Joto City kwa kujifanya gangstar
![]()
![]()
.......
Nooooooo Kanisa la nn kwani kanisa ndio liliomba? Au kubeti?
Fanya mpango nikupe Ziro saba kisha unisababishie..
Shukran kiongozi kwa magazetiiWakuu kumekuchaa salama...
Magazeti ya Leo .....![]()
Heshima,Utii,Upendo ni tabia ya kimbingu Tumerithi kutoka kwa Yesu Kristo.Alitii hadi mauti ya msalaba .
Bila Upendo ni ngumu kuonesha Heshima na Utii wetu kwa Mungu na ndugu zetu pia
Mtii Mungu kupitia Tabia yako,lugha zako,mavazi yako,,mienendo,mawazo,muda wako,mali yako,jamii inayokuzunguka
Usione aibu kumtangaza Mungu kisa watu watakuonaje,lazima watu waheshimu msimamo wako kwa Mungu wako,Mungu wetu ni mwema anatupenda sanasana na kutupiganiaNawe pia
Walikua wanatuambia utotoni anaroho saba,nadhani ni kwa ajili hii huwa hawafi upesi figo zao ziko vizuri wengi hupewa sumu na hawafi
Mbona mstari upande wa healed umekua mkubwa zaidi?ndio kupona au sijaelewa
Kaka ShkamoHawezi lala kaona kaka
HESHIMA
1 PETRO 2
17 Waheshimuni watu wote .wapendeni ndugu Mcheni Mungu.Mpeni heshima Mfalme.
Heshima,Utii,Upendo ni tabia ya kimbingu Tumerithi kutoka kwa Yesu Kristo.Alitii hadi mauti ya msalaba .
Bila Upendo ni ngumu kuonesha Heshima na Utii wetu kwa Mungu na ndugu zetu pia
Mtii Mungu kupitia Tabia yako,lugha zako,mavazi yako,,mienendo,mawazo,muda wako,mali yako,jamii inayokuzunguka
Usione aibu kumtangaza Mungu kisa watu watakuonaje,lazima watu waheshimu msimamo wako kwa Mungu wako,Mungu wetu ni mwema anatupenda sanasana na kutupigania
Tuombe:Mwenyezi Mungu Baba wa Mbinguni asante kwa kutufikisha umbali huu na kutuamsha salama,tunaomba ututakase makosa yetu yote,Bariki kazi zetu zote za mikono yetu siku ya leo,tupe kukupenda wewe kwa moyo,nguvu na akili zetu zote .Siku ya leo ifanye iwe baraka tukuone wewe.
Tunawakumbuka wasafiri,wafiwa,wagonjwa,wanafunzi,watoto,wazee , makapuku wote na wenye shida mbalimbali .Asante Baba kwa maana utatenda.Amina
MBARIKIWE