aaahaa hiyo kitu sio rafiki kwangu...Eeh kumbe ni kharamu! sasa mbona nimeshinda mahela kibao maana niliweka dau la maana Barca ang'oke na imekuwa, tutafutane Ijumaa upate japo Bia nne.
aaahaa hiyo kitu sio rafiki kwangu...
Hebu tufanye mpango unitumie japo kibluu tu maana nilikuweka kwenye maombi ushinde....
Nooooooo Kanisa la nn kwani kanisa ndio liliomba? Au kubeti?Ha hahhahah, usikonde mdau, nitaenda kutoa sadaka na nitanuia nawe ukibet uwin
Asante kwa matokeo Nyagei ubarikiwe siku njemaMatokeo ya mechi zilizochezwa tarehe 19/4/2017
Kenya premier League
![]()
UEFA CHAMPIONS LEAGUE
![]()
Timu za Germany zote zimetolewa kwa jumla ya mabao 6-3, Monaco walifanikiwa kutibua mipango ya Dortmund na kuwafanya kila wakifika wanakosa mbinu mwisho mpira unakwisha Monaco 3-1 Dortmund.
Huko nako Camp Nou mambo yalikuwa magumu mno kwa Barcelona kukutana na kisiki cha mabeki wa Juventus, mwisho mpira unakwisha Barcelona 0-0 Juventus
Pole,usingizi ukikata usiku omba omba omba muda wa usiku ni mzuri sana kuomba utapata mengi sana kupitia maombi ya usikuUsingizi umekata gafla kwa radi hizi...
Njooni tuchat kapukuz