Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
KwemaUmeshindwa kulala sio eeh?
Mkuu kwema?
KwemaUmeshindwa kulala sio eeh?
Mkuu kwema?
Na wewe piaJaman mlale salama
Damu ya Yesu ikawafunike
Hawezi lala kaona kakaUmeshindwa kulala sio eeh?
Mkuu kwema?
Kweli broAsante mdau, mwenyewe hata hicho kilugha kinachoimbwa sikielewi sema gitaa ni kama mchezo wa soka, una lugha moja, utamu makinifu.
Nimejisikia vizuri kuwa umetenga muda wako kusikiza nilichopost japo najua ni mida mibovu
NawamissYes brother
Kweli bro
Ila wewe ni popo mzuri zadi ya yule bawa..
Hebu uwe unaziweka watu wakiwa on fire
Ha hahhahha, watu wakiwa on-fire hawasikizi nyimbo wanalonga tu.
Mida ya mapopo kwa mimi ndo mizuri maana hakuna kelele, na net inakuwa imetulia kabisa
Nitakuamsha nikimaliza kuangalia game, nimebet
Kubeti ni haramuu...Ha hahhahha, watu wakiwa on-fire hawasikizi nyimbo wanalonga tu.
Mida ya mapopo kwa mimi ndo mizuri maana hakuna kelele, na net inakuwa imetulia kabisa
Nitakuamsha nikimaliza kuangalia game, nimebet
Sisi piaNawamiss
Wadau, tunaendelea tena na kipengele cha muziki hususani upande wa nyuzi aka gitaa. Na bado tuko Magharibi mwa Afrika.
Tunamwangalia nguli wa gitaa na muziki aliyejulikana sehemu nyingi ulimwenguni, huyu ni Ali Farka Toure, mshindi wa tuzo ya Grammy, ndiyo Grammy mwaka 1994 akishirikiana na Ry Cooder. Na sio Grammy moja tu, alishinda tuzo hizi mara mbili.
Ali Ibrahim Farka alijulikana kama 'godfather of the desert blues", kwa mujibu wa gazeti la The Guardian la Wednesday 8 March 2006 10.40 EST.
Ali Farka alifariki mwaka 2006. na kwa kuheshimu mchango wake, radio za serikali zilisitisha matangazo mengine na kucheza nyimbo zake siku nzima.
Hii hapa ni clip toka YouTube hapa akitumbuiza na gwiji la kora Toumani Diabaté
Hadi wakati mwingine tena, kwa wale wapenzi wa sauti za 'magitaa'

Nimejaribu kufungua nimeshindwa,inabidi nilale nijaribu asubuhi mbarrikiweAsante mdau, mwenyewe hata hicho kilugha kinachoimbwa sikielewi sema gitaa ni kama mchezo wa soka, una lugha moja, utamu makinifu.
Nimejisikia vizuri kuwa umetenga muda wako kusikiza nilichopost japo najua ni mida mibovu
Asante dadaSisi pia
Nataka kumhonga mlinzi apotezee ili nifanye yangu...Unataka nini
Asante kwa gitaa ila nimeshindwa kusikiliza kabisa.
Mimi mzima namshukuru sana Mungu,wewe je?naomba nifahamu nikuite nani..ubarikiwe![]()
Kubeti ni haramuu...
Na wewe pia...Tuamshwe salama...Usiku mwema wakuu
Mungu akulinde usiku mwema mkuuUsiku mwema wakuu
HongeraUkishajua mshabiki wa Real Madrid basi Barcelona anapita pembeni.... Nitakuwa na Juventus mkuu