Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asante mdau, mwenyewe hata hicho kilugha kinachoimbwa sikielewi sema gitaa ni kama mchezo wa soka, una lugha moja, utamu makinifu.
Nimejisikia vizuri kuwa umetenga muda wako kusikiza nilichopost japo najua ni mida mibovu
Kweli bro
Ila wewe ni popo mzuri zadi ya yule bawa..
Hebu uwe unaziweka watu wakiwa on fire
 
Ha hahhahha, watu wakiwa on-fire hawasikizi nyimbo wanalonga tu.

Mida ya mapopo kwa mimi ndo mizuri maana hakuna kelele, na net inakuwa imetulia kabisa
Nitakuamsha nikimaliza kuangalia game, nimebet
Ha hahhahha, watu wakiwa on-fire hawasikizi nyimbo wanalonga tu.

Mida ya mapopo kwa mimi ndo mizuri maana hakuna kelele, na net inakuwa imetulia kabisa
Nitakuamsha nikimaliza kuangalia game, nimebet
Kubeti ni haramuu...
 
Wadau, tunaendelea tena na kipengele cha muziki hususani upande wa nyuzi aka gitaa. Na bado tuko Magharibi mwa Afrika.

Tunamwangalia nguli wa gitaa na muziki aliyejulikana sehemu nyingi ulimwenguni, huyu ni Ali Farka Toure, mshindi wa tuzo ya Grammy, ndiyo Grammy mwaka 1994 akishirikiana na Ry Cooder. Na sio Grammy moja tu, alishinda tuzo hizi mara mbili.
Ali Ibrahim Farka alijulikana kama 'godfather of the desert blues", kwa mujibu wa gazeti la The Guardian la Wednesday 8 March 2006 10.40 EST.
Ali Farka alifariki mwaka 2006. na kwa kuheshimu mchango wake, radio za serikali zilisitisha matangazo mengine na kucheza nyimbo zake siku nzima.


Hii hapa ni clip toka YouTube hapa akitumbuiza na gwiji la kora Toumani Diabaté



Hadi wakati mwingine tena, kwa wale wapenzi wa sauti za 'magitaa'

Asante kwa gitaa ila nimeshindwa kusikiliza kabisa.

Mimi mzima namshukuru sana Mungu,wewe je?naomba nifahamu nikuite nani..ubarikiwe
 
Asante mdau, mwenyewe hata hicho kilugha kinachoimbwa sikielewi sema gitaa ni kama mchezo wa soka, una lugha moja, utamu makinifu.
Nimejisikia vizuri kuwa umetenga muda wako kusikiza nilichopost japo najua ni mida mibovu
Nimejaribu kufungua nimeshindwa,inabidi nilale nijaribu asubuhi mbarrikiwe
 
Asante kwa gitaa ila nimeshindwa kusikiliza kabisa.

Mimi mzima namshukuru sana Mungu,wewe je?naomba nifahamu nikuite nani..ubarikiwe

Asante kushukuru japo umeshindwa kulisikiza gitaa la mkongwe pamoja na kora. Well, niite mtaasisi ukishindwa kuniita Obe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom