mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,216
- 3,319
Muulize mondray anajuaCha wapi hiki

Muulize mondray anajuaCha wapi hiki

Haina kwerenilikuambia ili kukufahamisha tu mkuu!
by the way nimetulia
ndio mida yake hii muda si mrefu ataingiaMlinzi wako Shedede hajafika lindoni ama? Naona bado hajaonekana hapa...
kwa nn usifunge pm tu toka lisaa mpk sasa sijajibiwa au umesoma umemalizaKakangu nimemmiss
Yuko wapi jamani
Hehehekula kiduchu tu dada nampenda lee zaidi![]()
hahahhhhHehehe
Makubwa
MmmmhSio mtu wa mbwembwe za mapenzi
Hivyo sinaga sana stori za mapenzi......hata km kuna kapuku yupo hapahapa natembea nae hamuwezi kujua
I'm silent killer
...............
Nimeona Kicheko tuukwa nn usifunge pm tu toka lisaa mpk sasa sijajibiwa au umesoma umemaliza
Nasikia Bashite aliua paka kijijini kwao huko Koromije ndio maana anasumbua Joto City kwa kujifanya gangstarKoromije inanyamazishwa na mkweche wa angani wa Gwajima tu na si vinginevyo. Watu wenyewe ikifika usiku wanageuka tigers tena waje wanyamazishwe na tigers mwenzao? Chezea kwingine siyo Koromije tena ukome!

Ni kweli kajibu hivyoView attachment 498383
Mie mgeni jamani mtaa huu
au alitaka kiki tu mana huyo nae kwa kikiHuku kutamu zaidiKule sipati ushilikiano Kama hapa makapuka![]()
![]()
![]()
![]()
Dalili nionazo sioni jibu kua zuri kwakweliWewee endelea tu kunipima vipimo vyote ila jibu liwe zuri la kueleweka
![]()
![]()
tayari umeshajua na kukemea ohh hallelujah
kwenda ukoNimekumiss pia dada angu wa ukweli, kamuogeshe shemeji T si unajua sisi wanaume tuna deka kama watoto , mimi nitabaki kuwa mlinzi wako kiroho na kimwili hakuna atakae kuwezaKakangu nimemmiss
Yuko wapi jamani
Mmh staki aliejaaHahahaahah lee anaweka mkazo ila kujaa nimejaa kwa vipimo takatifu