Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
Chakorii anakuita shaniishunii
Chakorii anakuita shaniishunii
Ino kwi ngongo Iwa Makonda..Amabhango hehe wachu!?
Thanks mkuuNafikiri maana ya stripes mshaisoma hapo juu post zilizopita![]()
Tukutane kesho
.......
.
Haweziii kuponaaaHuyu mtu alipona kweli???
Utani ndani ya mipaka
hahahhh ndio mana ukaamua kuuliza kuna baadhi ya watu wanaita shanii na yy akiwa mmojawapoChakorii anakuita shanii
Nshamwambiaza mke wako ndio zako mwambie
Aaaachee cha rchugaa..atatumaa tuhivi ujue anaweza kususa asitume si unamjua uchizi wake
Ntafungia chumbanusinifukuzie mume dada
Asikutisheeusinifanyie hivyo![]()
ThubutuuuNakutishia tuu mwaya
Predict & winHuyu mtu alipona kweli???
Hahahautani mwingine mbaya ujue kama huu unaotaka kuniletea wa kususa
Wewe unapendaa niniHahaha
Unapenda kula na wewe
Wewee endelea tu kunipima vipimo vyote ila jibu liwe zuri la kuelewekaUshasema anazid so hayuko kwenye kufit
Nakuonaa nakuonaaaUnaniona??![]()
![]()
![]()
![]()
Mi nikichoka naanza kukemea hayo mapepo kwako
tayari umeshajua na kukemea ohh hallelujahHapana mkuuHivi bongo wapo?
Cc:
Quigley