BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Karibu my dearBarikiwa mamy
Karibu my dearBarikiwa mamy
Utoto mwingiSiku hizi akina Pogba wanapaka rangi nywele
Atakuwa ni mwanajeshi mstaafuSio gaidi wala mini(magaidi huwa wanapigania maslahi yao)
Raia wamewachoka Polisi
Alikuwa mmoja lkn alijipanga kufanya kitu cha "muhalifu caraja la juu"
..
Ana mafunzo ya kijeshiIna onekana huko Mkuranga polisi hawana maelewano na wananchi ndio maana haya yanatokea, maana juzi kati kuna wale wa ushuru wa mkaa walipigwa shaba na watu wakachukua mkaa wakasepa hamna uombolezaji au wasemaji ya kuwa nini kilitokea!!!
Polisi wajitafakari!!!
Ila adui/muuaji ni "mnyambis" na yupo gado 8 policemen si mchezow!!!
Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiria,mimi binafsi nimehudhuria msiba wa kati ya waliouwawa kuna jamaa yangu amepoteza mume wake binti mdogo tu,na amemuacha na watoto wadogo kabisa wakwanza hana hata miaka sita ,inasemekana waliimuua waliacha watu woteee na kumpiga risasi askari tu..tunalia.Tatizo lipo mkuu japo sijalifuatilia hili jambo kwa kina ila kuna mambo nyuma ya pazia, haiwezekani wauaji watangaze vita na viongozi wa serikali pasi na chanzo.
.tunaomboleza
..tumebaki na mjane mtoto..kimya hakuna kinacholeta matumaini..kwakweli Mungu aingilie kati ...na hatua zichukuliwe mapema maana wameanza askari watahamia kwa raia tutakwisha , .... mtu aliyezoea kula nyama ya mtu kamwe hawezi kuacha.Mmmh!inaumiza sana aseme kitu tujue hatima yetuNgoja tumsikie Rais atasema nini?
Tatizo lipo mkuu japo sijalifuatilia hili jambo kwa kina ila kuna mambo nyuma ya pazia, haiwezekani wauaji watangaze vita na viongozi wa serikali pasi na chanzo.
InawezekanaSio gaidi wala mini(magaidi huwa wanapigania maslahi yao)
Raia wamewachoka Polisi
Alikuwa mmoja lkn alijipanga kufanya kitu cha "muhalifu caraja la juu"
..
Sijasikia kwakweliHi inawezekana pia maana ni viongozi wa serikali na polisi ndio wanawajibishwa na huyu asie julikana ,,,,,
Hivi mwigulu kasema nini juu ya hili
Ina onekana huko Mkuranga polisi hawana maelewano na wananchi ndio maana haya yanatokea, maana juzi kati kuna wale wa ushuru wa mkaa walipigwa shaba na watu wakachukua mkaa wakasepa hamna uombolezaji au wasemaji ya kuwa nini kilitokea!!!
Polisi wajitafakari!!!
Ila adui/muuaji ni "mnyambis" na yupo gado 8 policemen si mchezow!!!

Pole sana kwa mjaneTatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiria,mimi binafsi nimehudhuria msiba wa kati ya waliouwawa kuna jamaa yangu amepoteza mume wake binti mdogo tu,na amemuacha na watoto wadogo kabisa wakwanza hana hata miaka sita ,inasemekana waliimuua waliacha watu woteee na kumpiga risasi askari tu..tunalia.![]()
![]()
![]()
![]()
.tunaomboleza
![]()
![]()
![]()
![]()
..tumebaki na mjane mtoto..kimya hakuna kinacholeta matumaini..kwakweli Mungu aingilie kati ...na hatua zichukuliwe mapema maana wameanza askari watahamia kwa raia tutakwisha , .... mtu aliyezoea kula nyama ya mtu kamwe hawezi kuacha.
Duhhhh!Wale wote katika kipindi cha mitihani (shuleni/vyuoni) mliokuwa na tabia ya kuwaambia wenzenu kuwa, "sijasoma kabisa", lakini kwenye chumba cha mtihani mlikuwa mnaomba makaratasi ya ziada ya kujibia maswali (extra answer sheets)....nawatakia:-
HAPPY JUDAH's DAY!!!
Mi mzma kabisaSalama ndugu yangu, sijui wewe?
Asantee mkuuLeo Katika Historia:
Niwatakie Ijumaa njema.
😀 😀 😀 😀hata mie ilinitokea nikashangaa sana, nikafikiri ..... washafanya yao
Tatizo lilianza pale polisi walipoanza kutumika vibaya na serikali kuumiza wananchi sasa wanaanza kulipa ,,,ndio wananchi hawalaani chochoteTatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiria,mimi binafsi nimehudhuria msiba wa kati ya waliouwawa kuna jamaa yangu amepoteza mume wake binti mdogo tu,na amemuacha na watoto wadogo kabisa wakwanza hana hata miaka sita ,inasemekana waliimuua waliacha watu woteee na kumpiga risasi askari tu..tunalia.![]()
![]()
![]()
![]()
.tunaomboleza
![]()
![]()
![]()
![]()
..tumebaki na mjane mtoto..kimya hakuna kinacholeta matumaini..kwakweli Mungu aingilie kati ...na hatua zichukuliwe mapema maana wameanza askari watahamia kwa raia tutakwisha , .... mtu aliyezoea kula nyama ya mtu kamwe hawezi kuacha.
Asantee mkuu
Asante mama mtumishiNi kweli,kwa sababu tunapaswa kushiriki mateso na kuvumilia kuacha vile tunavyopenda zaidi,its more symbolic as Jesus passed through much pains more than two thousand years ago,na sio nyama to all luxuries tunaweza kujikatalia na kufanya matendo mema,kuhudumia wahitaji na kuongeza upendo kwa wenzetu,tukumbuke kuwa matendo mema na upendo ndio amri kuu.unaweza kuacha kula nyama ukakosa upendo unakua hakuna ulichofanya...mbarikiwe wapendwa
Habari mkuu musopamoja mkuu