Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Naam momNyagei!
Naam momNyagei!
Zamani walikuwepo Campbell na KeownHuku Arsenal wakiwa na akina Gabriel na Matesaka, kwanini Messi na CR7 wasitupie kila siku.
Rafael tupa kule weka Garry NevilleUliposema Rio na Vidic umenikumbusha kuna Evra left na Rafael right
Basi tusubiri afufuke PasakaHawakuwepo. Halafu sasa Lincoln alipigwa risasi siku ya Ijumaa Kuu. Yaani imeenda sawa na leo.
Saa nyingine mauaji haya hupangwa na wanaoamini katika nguvu ya giza ( Freemason ).
Nafikiri wakiyamaliza either Lipumba arudishwe rasmi or asikubaliwe na viongozi husika itamaliza hii vita.Mbona chanzo kinahulikana ni CCM kutoka kutoka kudhoofisha nguvu ya CUF Z'bar maana kila chaguzi wanawasumbua kwenye ballot box
Kingine Ni kuidhoofisha UKAWA
Hapo Lipumbavu na Msajili + RITA & Spika wanatumika tu
.....
Unapitaje kwa Martin Keown kizembezembe? Au kwa Sol Campbell mtu na jihadi zake.Zamani walikuwepo Campbell na Keown![]()
Kwanini Prof Wengewenge asipigwe mkono kila siku
....
Hatari sanaRafael tupa kule weka Garry Neville
....
AmenGoodmorning Papaaa ubarikiwe

Pitia hapa mkuuBasi tusubiri afufuke Pasaka
...
Lipumbavu katumwa na kupewa mjwanja na ulinzi + sapoti serkaliniNafikiri wakiyamaliza either Lipumba arudishwe rasmi or asikubaliwe na viongozi husika itamaliza hii vita.
Vitu vingine havihitaji elimu kubwa hasa kwa Lipumba
Ukuta huo Arsenal anamaliza ligi bila kufungwa.Zamani walikuwepo Campbell na Keown![]()
Kwanini Prof Wengewenge asipigwe mkono kila siku
....
Kuna kipindi walikuwa wanapambana Anderson v Cocquelin au sijui kiungo gani bwege wa ArsayNOUnapitaje kwa Martin Keown kizembezembe? Au kwa Sol Campbell mtu na jihadi zake.
Walikuwa wanaume ila sasa soka linachezwa na wavulana.
Ukija kwenye idara ya kiungo unakutana na Vieira, huku Roy Keane.
Lakini leo unakutana na Carrick na Carzola au Elneny.
Nyakati zimekwenda wapi?
Tulikuwa tukiita " Midfield Battle " mtoto hatumwi sokoni siku hiyo.Hatari sana
Kiboko yao ni Roy Keane
Kapteni wa muda wote
Usiombe wakutane na Vieira undava undava
Alikuwa ni Denilson kiungo wa Kibrazil. Tupia picha yake kidogoKuna kipindi walikuwa wanapambana Anderson v Cocquelin au sijui kiungo gani bwege wa ArsayNO
NI KITUKO
....
Hahahah...Wale wote katika kipindi cha mitihani (shuleni/vyuoni) mliokuwa na tabia ya kuwaambia wenzenu kuwa, "sijasoma kabisa", lakini kwenye chumba cha mtihani mlikuwa mnaomba makaratasi ya ziada ya kujibia maswali (extra answer sheets)....nawatakia:-
HAPPY JUDAH's DAY!!!
Elimu yake imeshindwa kumkomboa toka misriLipumbavu katumwa na kupewa mjwanja na ulinzi + sapoti serkalini
Ugomvi hautaisha kamwe labda kwa nguvu ya MAHAKAMA au Lipumbavu afe
Anajua afanyalo
...