Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Kumbuka kati ya kadi 3 zinazodaiwa kuna mechi haikuoneshwa wala kurekodowa na AzamTv hivyo kuna uwezekano mkubwa hakupewa kadi yoyote ila Simba walijua wazi Hapo ndo pakushika maana " wakosoaji" nao watakosa ushahidiDah soka letu linashuka siku baada ya siku.
Mimi Yanga damu lakini Simba msimu huu wapo vizuri toka ligi ianze ila hizi point za mezani zitaondoa heshima yenu ya ubingwa pia itachangia kupunguza mvuto na ushindani mechi zilizobaki
.........