Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
AhaaaaaaahWale wote katika kipindi cha mitihani (shuleni/vyuoni) mliokuwa na tabia ya kuwaambia wenzenu kuwa, "sijasoma kabisa", lakini kwenye chumba cha mtihani mlikuwa mnaomba makaratasi ya ziada ya kujibia maswali (extra answer sheets)....nawatakia:-
HAPPY JUDAH's DAY!!!
Tuanze na timu yetu pendwa yenye kujana wetu mpendwa ,,,Michuano ya vilabu ulaya bhn huwa ni hatari sana kama utaruhusu timu mgeni apate goli katika kiwanja chako wewe timu mwenyeji..... Makosa aliyoyafanya Celta Vigo ni kuwaruhusu KRC Genk kupata goli mbili ugenini, ila pia makosa aliyoyafanya Genk ni kuruhusu goli nyingi katika nyavu zake...... hii inamaanisha namna mchezo utakavyokuwa mgumu kule nyumbani kwa Genk.... Namna timu hizi zinavyocheza ni ishara tosha ya mchezo mgumu sana na usiotabirika katika siku za usoni.