Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiria,mimi binafsi nimehudhuria msiba wa kati ya waliouwawa kuna jamaa yangu amepoteza mume wake binti mdogo tu,na amemuacha na watoto wadogo kabisa wakwanza hana hata miaka sita ,inasemekana waliimuua waliacha watu woteee na kumpiga risasi askari tu..tunalia. .tunaomboleza ..tumebaki na mjane mtoto..kimya hakuna kinacholeta matumaini..kwakweli Mungu aingilie kati ...na hatua zichukuliwe mapema maana wameanza askari watahamia kwa raia tutakwisha , .... mtu aliyezoea kula nyama ya mtu kamwe hawezi kuacha.
Poleni sana.....ni visasi, kama polisi hawana mahusiano mazuri na raia ndio inakuwa hivyo
 
4fdb5831d0a7badd280e7ef559894382.jpg
9542327248d799fd6f8199fee9ad7241.jpg
929553c0319de621ae8a39ae7eb44cd5.jpg
5ac5e4522015643971842d415ce14317.jpg
1adb2a1f0ca6db696598688a272f1061.jpg
5c4b8ad0df4b4266304bb8150dd1b035.jpg
a4d820723ea6d7683d0bf5589823d992.jpg
hao ndio askari waliopoteza uhai
Wa3 ni mayanki wadogo sana asee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom