Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tulikuwa tukiita " Midfield Battle " mtoto hatumwi sokoni siku hiyo.

Hapo unaeza kuta siku hiyo Fergie akawaanzisha Keane na Nicky Butt kwenye idara ya kiungo, basi hapo ni makwanja na viatu tu halafu baade baadae akaingia Scholes kumaliza game.
Kweli mkuu zama zimebadilika wachezaji wetu ni mafashenisti wa siku hizi
 
Alikuwa ni Denilson kiungo wa Kibrazil. Tupia picha yake kidogo
d7a59a1b39789a4fb533ec09bf93f5b5.jpg
239fbc531df844d29d9f0a46a2faca9e.jpg

Hapa akiburuzwa na CR7
Ukabaji wake Ni km wa netball
...
 
Tulikuwa tukiita " Midfield Battle " mtoto hatumwi sokoni siku hiyo.

Hapo unaeza kuta siku hiyo Fergie akawaanzisha Keane na Nicky Butt kwenye idara ya kiungo, basi hapo ni makwanja na viatu tu halafu baade baadae akaingia Scholes kumaliza game.
5d0b419fb5487f839bec90c5b1d3bc44.jpg
1ba2bca003b9c92a84617c8171ba0e52.jpg
6cb7f10344751ce72d4d9aafab5164dc.jpg
2547f132a956c312977ab699717ff10e.jpg

Siku hizi tunaibiwa jero zetu vibanda umiza
Ushabiki mwingi mpira hakuna
....
 
Tukio la jana mnalizungumziaje wakuu, Polisi 8 kuuwawa kwa mkupuo sio jambo zuri na inaonekana kuna sehemu kuna tatizo...
Ina onekana huko Mkuranga polisi hawana maelewano na wananchi ndio maana haya yanatokea, maana juzi kati kuna wale wa ushuru wa mkaa walipigwa shaba na watu wakachukua mkaa wakasepa hamna uombolezaji au wasemaji ya kuwa nini kilitokea!!!

Polisi wajitafakari!!!

Ila adui/muuaji ni "mnyambis" na yupo gado 8 policemen si mchezow!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom