Makapuku Forum

Makapuku Forum

Na Ronaldo keshaanza "Inzaghi style" maana anazeeka

Hebu fikiria Mab Utd tulikuwa na kina Stan,Henning Brtg wakaja akina Rio na Vidic halafu now tuna Smalling na Rojo(Bailly anajitahidi)
Kweli soka limeshuka
.....
Huku Arsenal wakiwa na akina Gabriel na Matesaka, kwanini Messi na CR7 wasitupie kila siku.
 
381f2d0c58b7885c3d79999b375c83c6.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom