Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Njema namshukuru Mungu tunaendelea vizuri za uzima uwe na siku njema mkuuHakika Bwana yu mwema.....habari za uzima?
Well saidBeauty without Brain, secret parts suffer the most.
Hi dear karibuHello kapukuz
Mbona chanzo kinahulikana ni CCM kutoka kutoka kudhoofisha nguvu ya CUF Z'bar maana kila chaguzi wanawasumbua kwenye ballot boxHao nao wayamalize tu
Mzee apumzike tu sasa anataka aongoze hata akiwa kwenye wheelchair100 kasoro
.......
So sad story ,huwa wanstokea wengine wana ujauzito wengine wanawatoto hata sijui kama ni story za kweli2014 - Wasichana 276 wa Shule nchini Nigeria wanatekwa na kikundi hatari cha Boko Haram.
Vina husiana mkuuUchochezi mkuu
Amen.....same to youNjema namshukuru Mungu tunaendelea vizuri za uzima uwe na siku njema mkuu
Huku Arsenal wakiwa na akina Gabriel na Matesaka, kwanini Messi na CR7 wasitupie kila siku.Na Ronaldo keshaanza "Inzaghi style" maana anazeeka
Hebu fikiria Mab Utd tulikuwa na kina Stan,Henning Brtg wakaja akina Rio na Vidic halafu now tuna Smalling na Rojo(Bailly anajitahidi)
Kweli soka limeshuka
.....
Ila ni biashara TRA wanavuna tuHuo nao ni ugonjwa mwingine
Itakuwa hawakuwa fit kiafya haoBaadhi tu ndio waliachiwa.
Amen ubarikiwe sanaLeo Katika Historia:
Niwatakie Ijumaa njema.
Hawakuwepo. Halafu sasa Lincoln alipigwa risasi siku ya Ijumaa Kuu. Yaani imeenda sawa na leo.Kwani 1800's FBI walikuwepo?
....
Ni muda wa dereva kusikiliza maoni ya abiria wakeYaaah ila sijui itakuaje,kwa wahusika sio habari njema
Pamoja.Amen ubarikiwe sana
Uliposema Rio na Vidic umenikumbusha kuna Evra left na Rafael rightNa Ronaldo keshaanza "Inzaghi style" maana anazeeka
Hebu fikiria Mab Utd tulikuwa na kina Stan,Henning Brtg wakaja akina Rio na Vidic halafu now tuna Smalling na Rojo(Bailly anajitahidi)
Kweli soka limeshuka
.....
Mimi piahata mie ilinitokea nikashangaa sana, nikafikiri ..... washafanya yao