AsanteShirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF)kupitia Bodi ya Ligi na Kamati ya saa 72 inawatakia maandalizi mema ya sikukuu ya Pasaka..![]()
Dah soka letu linashuka siku baada ya siku.Hongwren wazee wa point za mezani....msijali ht mkishoriki CAF mtakuwa mnapewa tu point
....
Nilisikia walizalishwa vipi kuhusu kuokolewa?2014 - Wasichana 276 wa Shule nchini Nigeria wanatekwa na kikundi hatari cha Boko Haram.
Mungu yu mwema asante kwa maombi ndugu zangu mbarikiweMama mchungaji matumaini yetu watu wako wanaendelea vizuri
Ahsante mkuu Mussolin5 kwa historia ya leoLeo Katika Historia:
Niwatakie Ijumaa njema.
Namimi nimeelewa leo asante kwa ufafanuziBhinamu iko hivi Kamati ya saa 72 iliyokaa kikao jana April 13 na kuamua kuhusu malalamiko ya Simba kwaKagera Sugar kuhusu kumtumia mchezajiMohamed Fakhi katika mchezo dhidi yao April 2 2017 akiwa na kadi tatu za njano kinyume na taratibu na kanuni za Ligi.
Simba walipeleka malalamiko hayo katika bodi ya Ligi na kuomba ipitie ripoti za waamuzi ili kujulikana ukweli, na jana April 13 kamati ya saa 72 chini ya mwenyekiti wake Hamadi Yahaya ilikaa na kujiridhisha kuwa Kagera walikiuka taratibu hizo kwa mujibu wa Kanuni Simba wamepewa point zote tatu za mchezo dhidi yao....ndo hivo mkuu
John Wilkes Booth ndio alikuwa muuaji wa Rais huyu.![]()
Muhusika?![]()
....
Mambo zako Nyagei?Hello kapuku
Ilizama kesho yake yaani tarehe 15.![]()
haikuleta maafa?![]()
.....
Walioachiwa ni baadhi sio wote.![]()
si walikombolewa last year au bado tu![]()
....
Ana umri gani kwa sasa
Ana umri gani kwa sasa
Ila kama mabeki wa kizazi hiki ni wazembe na walaini sana.