Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,473
- 10,429
Msijali j3 nahisi tutafanya hivyo coz nisiku yke yakuzaliwa so tutawasapraizMbona hujatoa update za mrejesho?
Msijali j3 nahisi tutafanya hivyo coz nisiku yke yakuzaliwa so tutawasapraizMbona hujatoa update za mrejesho?
AhsanteGreat, hongereni sana.
Tuko poaaWakuu mkopoa
Kwemaa mkuuWananzengo ni kwema jamani!?!?
Pia sababu nyingine ya Madrid kupendwa na mashabiki wa Man Utd ni vile vipigo viwili vya fainali UCL .... Hivyo imebidi tuwape sapoti Madrid maana ni mahasimuMimi nilikuwa naipenda toka enzi za kina Beckham, zidane huko back ways..
Ila ronald ni kama daraja la man u supporters kuipenda madrid..
Ila hata CR7 anaipenda man u..
Juzi alivyodedicate vile viatu vyake kwa Man untd alisema hivi..
"I am dedicating this to Manchester united, that's my home, thats where i learned the art of football"
Mlio lisoma hili gazeti....siri gani nzito aliyoifichua Roma!?!?
Magazeti yetu unayajuà mkuuMlio lisoma hili gazeti....siri gani nzito aliyoifichua Roma!?!?
Na Wema tena kama Roma.....???Udaku...![]()
![]()
![]()
![]()
Tuko poa mboga za majaniWananzengo ni kwema jamani!?!?


Hii ni nzr
Aksante sana mjibuji
Umetilika vizr ..... Mwenyewe leo naponea njianiMkuu Leo inanipa shida kudadavua nani anachukua advantage kwa mwenzake ule umakini wa kibibi kizee cha kule changanya umakini wa forward pale barca najua ushaona kuwa apa tunamwachia mzee wa historia yake aongeze timu yake vizuri uku nikijiuliza je messi atanyoa ndevu Leo au ataingia na ndevu zake make ndo kitu kilichobaki kizuri kwake haswa japo ubora wake huwezi kuupinga
Hapa naziona 1 to 1 plus touch za mzee iniesta uku nikijiuliza maswali rukuki je ndio sababu pelez anamtaka Ngolo?? Lakini hayatuhusu hayo ....
Leo Mimi muhindi ntamua kwa style nayojua Mimi hata ikibidi sitomsikiliza Marson na prediction zake
Anyway tusisahau at time matokeo ya UEFA waga yana uwiano kwa Siku husika japo sio constant kama avagadro constant ....
Juve kuanzia kwake ni advantage ila ni more advantageous kwa Barca kuanzia ugenini japo uwepo wa Mr captain mwenye timu yake pande zote loooooh kazi ipo kweli .....zile pundamilia like na jeep kifuani zitavaliwa kwa wingi Leo ila kama unayo na wewe usiende nayo kwa kanjibai utakosesha wengi amani....
Epa najiuliza maswali mengi mwekahazina na kapuku msinishangae je Massimiliamo Allegri anamtegemea Paulo Dybala kutimiza ndoto zake pale Tulin au uimara wa mlinda lango lao ,ila akitegemea ubovu wa mara moja moja wa MSN naona kutamponza make miaka 20 sio mchezo
Wakuu ,draw ,kushinda na kushindwa nayo ni matokeo
Sakayo heshima yakoKama ya Shedede baebii
Mkuu uvr sana... Aise hongera sanaThanks
Kawaida tu ila sizitafuti likes kwa nguvu...kumbuka kabla ya huu uzi ninazo thread zaidi ya 20 mojawapo ni sticky jukwaa la utanashati pia jamii photos ninazo thread km 5 ila "hapa vipi?" ndo imebamba....chit chat pia zipo baadhi nimeedit kwa kuzifuta nilichoandika ili zife
Siku hizi nimeacha kuanzisha thread
...........
Hello leeSawa mkuu