Makapuku Forum

Makapuku Forum

31db151ac4400b97c230143e4b4b3a44.jpg
hapa ndo mimi nashindwa kabisa kubet na kuchagua sababu hizi team zote mbili nazishabikia
 
Mimi nilikuwa naipenda toka enzi za kina Beckham, zidane huko back ways..

Ila ronald ni kama daraja la man u supporters kuipenda madrid..

Ila hata CR7 anaipenda man u..

Juzi alivyodedicate vile viatu vyake kwa Man untd alisema hivi..

"I am dedicating this to Manchester united, that's my home, thats where i learned the art of football"
Pia sababu nyingine ya Madrid kupendwa na mashabiki wa Man Utd ni vile vipigo viwili vya fainali UCL .... Hivyo imebidi tuwape sapoti Madrid maana ni mahasimu

Pia utagundua mashabiki wengi wa ArsayNO wanaisapoti Barca sababu ikiwa ni hiyohiyo lakini kichekesho zaidi nao siku za karibuni wamenyanyaswa na Barca vya kutosha ila hawaitaki Madrid sababu imejaa mashabiki wa Man Utd
......
 
Mkuu Leo inanipa shida kudadavua nani anachukua advantage kwa mwenzake ule umakini wa kibibi kizee cha kule changanya umakini wa forward pale barca najua ushaona kuwa apa tunamwachia mzee wa historia yake aongeze timu yake vizuri uku nikijiuliza je messi atanyoa ndevu Leo au ataingia na ndevu zake make ndo kitu kilichobaki kizuri kwake haswa japo ubora wake huwezi kuupinga

Hapa naziona 1 to 1 plus touch za mzee iniesta uku nikijiuliza maswali rukuki je ndio sababu pelez anamtaka Ngolo?? Lakini hayatuhusu hayo ....

Leo Mimi muhindi ntamua kwa style nayojua Mimi hata ikibidi sitomsikiliza Marson na prediction zake

Anyway tusisahau at time matokeo ya UEFA waga yana uwiano kwa Siku husika japo sio constant kama avagadro constant ....

Juve kuanzia kwake ni advantage ila ni more advantageous kwa Barca kuanzia ugenini japo uwepo wa Mr captain mwenye timu yake pande zote loooooh kazi ipo kweli .....zile pundamilia like na jeep kifuani zitavaliwa kwa wingi Leo ila kama unayo na wewe usiende nayo kwa kanjibai utakosesha wengi amani....

Epa najiuliza maswali mengi mwekahazina na kapuku msinishangae je Massimiliamo Allegri anamtegemea Paulo Dybala kutimiza ndoto zake pale Tulin au uimara wa mlinda lango lao ,ila akitegemea ubovu wa mara moja moja wa MSN naona kutamponza make miaka 20 sio mchezo

Wakuu ,draw ,kushinda na kushindwa nayo ni matokeo
Umetilika vizr ..... Mwenyewe leo naponea njiani
 
Thanks
Kawaida tu ila sizitafuti likes kwa nguvu...kumbuka kabla ya huu uzi ninazo thread zaidi ya 20 mojawapo ni sticky jukwaa la utanashati pia jamii photos ninazo thread km 5 ila "hapa vipi?" ndo imebamba....chit chat pia zipo baadhi nimeedit kwa kuzifuta nilichoandika ili zife

Siku hizi nimeacha kuanzisha thread
...........
Mkuu uvr sana... Aise hongera sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom