Makapuku Forum

Makapuku Forum

Habari za muda Makapuku! Haijalishi siku imeendaje lakini kesho ni siku nyingine tena, unaweza kupata Krismasi ndani ya Kiangazi

Nimekuwa na mfulululizo kwa kuleta wakung'uta magitaa maarufu kwa Uropa, USA na hata hapa kwetu Tanzania, leo ninaye gwiji mwingine japo kwa ufupi.

Eric Clapton, huyu ni gwiji kweli kweli katika kucharaza nyuzi za gitaa, mzaliwa wa Uingereza na keshwatwaa zaidi tya tuzo 18 za Grammy.

Mwaka 2004 alipewa tuzo ya CBE ( Commander of the Most Excellent Order of the British Empire) juu ya mchango wake katika tasnia ya muziki, tuzo hii ni ya juu kabisa kushinda tunzo niliyonayo mimi Kapuku mwenzenu yaani OBE ('Officer of the Most Excellent Order of the British Empire). Sitaki kujielezea mwaka gani niliipata, wakati mwingine nitaielezea wacha leo nimwelezee Eric Clapton.😵

Clapton hapa karika video ya YOUTube anacharaza gitaa pamoja na gwiji wa wakati wote BB King.
Wacha nyuzi ziongee

 
NUKUU YA LEO

In order to succeed, we must first believe that we can

Ili tuweze kufanikiwa, ni lazima kwanza tuamini kuwa tunaweza

Haya maneno yalipata kutamkwa na mwaandishi, mwanamashairi na mwanafalsafa wa kigiriki Bw. Nikos Kazantzakis. Nikos alizaliwa tar 18/02/1883 na kufariki 26/10/1957 akiwa na miaka 74.

Alizaliwa Ottoman Empire ambayo leo hii inafahamika kama Ukigiriki.

6ad12b9b4b0db1ff23540610732b16f6.jpg


e5934af01b977e5bcc689c0c97dc9d92.jpg


Nikos anakumbukwa kwa kazi zake nyingi kama

Zorba the Greek
Last Temptation n.k


Falsafa ya tuamini kwanza tùnaweza ndio ilikuwa presidential campgain slogan ya Rais mstaafu wa marekani Barack obama mwaka 2008 .

46d80ba4da22fdb894dce2f5ef847d01.jpg

Ni maneno yenye uzito ukiyachambua kwa kina!

Motivational kwetu;

Unapoona jambo kama ni gumu kumbuka hii slogan ya Yes we can! Inakupa nguvu, ari na moyo wa kuona jambo gumu linawezekana.

Believe! You can

Transcend.
kweli kabisa mkuu!
8b2a7de3bcef394a7cbdcab3bbe0dbac.jpg
 
Habari za muda Makapuku! Haijalishi siku imeendaje lakini kesho ni siku nyingine tena, unaweza kupata Krismasi ndani ya Kiangazi

Nimekuwa na mfulululizo kwa kuleta wakung'uta magitaa maarufu kwa Uropa, USA na hata hapa kwetu Tanzania, leo ninaye gwiji mwingine japo kwa ufupi.

Eric Clapton, huyu ni gwiji kweli kweli katika kucharaza nyuzi za gitaa, mzaliwa wa Uingereza na keshwatwaa zaidi tya tuzo 18 za Grammy.

Mwaka 2004 alipewa tuzo ya CBE ( Commander of the Most Excellent Order of the British Empire) juu ya mchango wake katika tasnia ya muziki, tuzo hii ni ya juu kabisa kushinda tunzo niliyonayo mimi Kapuku mwenzenu yaani OBE ('Officer of the Most Excellent Order of the British Empire). Sitaki kujielezea mwaka gani niliipata, wakati mwingine nitaielezea wacha leo nimwelezee Eric Clapton.😵

Clapton hapa karika video ya YOUTube anacharaza gitaa pamoja na gwiji wa wakati wote BB King.
Wacha nyuzi ziongee


Kaka naweza jifunza gitaa bila mwalimu!?
 
Germany's Borussia Dortmund football team bus hit by explosions

www.bbc.com

Apr 11, 2017 9:41 PM

0a5187c09efcf92fab11e9a0f87caf77.jpg


Borussia Dortmund defender and Spain international Marc Bartra was injured, media reported

Three explosions have hit a bus carrying the Borussia Dortmund football team to a home Champions League match.

Player Marc Bartra was injured and has been taken to hospital but is not seriously hurt, reports say.

The team tweeted (in German) that the other players were safe and there was no danger in or around the stadium.

The game has been postponed until Wednesday. The AFP news agency reported that the bus's windows were broken in the blasts.

North-Rhine Westphalia police said they were at the scene.

e929d4de0d2fddf4729d4709cf4213b4.jpg


A message at Dortmund's Signal Iduna Park tells fans about the bus explosion

Borussia Dortmund were scheduled to play a quarter-final match against Monaco.

It will now be played on Wednesday at 18:45 local time (16:45 GMT).

Dortmund are currently fourth in the German Bundesliga table.
 
Habari za muda Makapuku! Haijalishi siku imeendaje lakini kesho ni siku nyingine tena, unaweza kupata Krismasi ndani ya Kiangazi

Nimekuwa na mfulululizo kwa kuleta wakung'uta magitaa maarufu kwa Uropa, USA na hata hapa kwetu Tanzania, leo ninaye gwiji mwingine japo kwa ufupi.

Eric Clapton, huyu ni gwiji kweli kweli katika kucharaza nyuzi za gitaa, mzaliwa wa Uingereza na keshwatwaa zaidi tya tuzo 18 za Grammy.

Mwaka 2004 alipewa tuzo ya CBE ( Commander of the Most Excellent Order of the British Empire) juu ya mchango wake katika tasnia ya muziki, tuzo hii ni ya juu kabisa kushinda tunzo niliyonayo mimi Kapuku mwenzenu yaani OBE ('Officer of the Most Excellent Order of the British Empire). Sitaki kujielezea mwaka gani niliipata, wakati mwingine nitaielezea wacha leo nimwelezee Eric Clapton.😵

Clapton hapa karika video ya YOUTube anacharaza gitaa pamoja na gwiji wa wakati wote BB King.
Wacha nyuzi ziongee


Sawa mwishiwa Obe
 
ha hahhahahah, umesikia nyama hata kuandika vizuri umeshindwa , kifupi umejikuta unapata njaa ya nyama

red isomeke rasta
bllue isomeke nyama

kijani isomeke inakataa

Nenda kale nyama, angalia pic yangu profile utajua nyama ni uhai.
Ulimwengu wa smartphone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom