Makapuku Forum

Makapuku Forum

e461bedc27246b8050a9fce0a729e91b.jpg
 
Pamoja sana.
Huyu alijikita zaidi kwenye Jazz na kuimba, alikuwa ni gwiji mwingine wa kukung'uta gitaa, sema lake alikuwa anapiga taratibu maana alichanganya Jazz na R&B.

Aliwahi kutwaa tuzo kibao za Grammy, moja ya wimbo wake ni huu



maalum kwako BlessedHope

Jamani asante sana ubarikiwe sanasana asante kunipa heshima hii,sikusoma jana napitia changamoto fulani naomba mniombee makapuku wote .
 
Leo ndio siku ya kumuua muhindi

Jana nilikwepa

362634b6542bc5198d33287c5f1afa7b.jpg
Mkuu Leo inanipa shida kudadavua nani anachukua advantage kwa mwenzake ule umakini wa kibibi kizee cha kule changanya umakini wa forward pale barca najua ushaona kuwa apa tunamwachia mzee wa historia yake aongeze timu yake vizuri uku nikijiuliza je messi atanyoa ndevu Leo au ataingia na ndevu zake make ndo kitu kilichobaki kizuri kwake haswa japo ubora wake huwezi kuupinga

Hapa naziona 1 to 1 plus touch za mzee iniesta uku nikijiuliza maswali rukuki je ndio sababu pelez anamtaka Ngolo?? Lakini hayatuhusu hayo ....

Leo Mimi muhindi ntamua kwa style nayojua Mimi hata ikibidi sitomsikiliza Marson na prediction zake

Anyway tusisahau at time matokeo ya UEFA waga yana uwiano kwa Siku husika japo sio constant kama avagadro constant ....

Juve kuanzia kwake ni advantage ila ni more advantageous kwa Barca kuanzia ugenini japo uwepo wa Mr captain mwenye timu yake pande zote loooooh kazi ipo kweli .....zile pundamilia like na jeep kifuani zitavaliwa kwa wingi Leo ila kama unayo na wewe usiende nayo kwa kanjibai utakosesha wengi amani....

Epa najiuliza maswali mengi mwekahazina na kapuku msinishangae je Massimiliamo Allegri anamtegemea Paulo Dybala kutimiza ndoto zake pale Tulin au uimara wa mlinda lango lao ,ila akitegemea ubovu wa mara moja moja wa MSN naona kutamponza make miaka 20 sio mchezo

Wakuu ,draw ,kushinda na kushindwa nayo ni matokeo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom