Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1909 - Jiji la Tel Aviv laanzishwa.
467a9263b37a61a64023feedd6e77c3d.jpg
881511d88d7c5b2c745b0b11726c923e.jpg
487dbd0638340797f3a8b6211ae77dff.jpg
 
1979 - Utawala wa Dikteta Idd Amini Dada wa Uganda unafikia kikomo nchini humo mara baada ya kuondoshwa na majeshi ya Tanzania katika vita ya Uganda.
1554e4fe7036834a0b9b7143b49cb2a9.jpg
00b154d73acbf40055ede67867b0cbb0.jpg
4684ee56ce05c23284f6478033be22f9.jpg
9920fca03768fda9346bb75a65568634.jpg
ilijulikana km vita ya Kagera
Chanzo ni Amin kuivamia Kagera kwa makombora ikiwemo kuharibu mali na miundomini ikiwepo daraja la mto Kagera alikuwa anasapotiwa na swahiba wake Gaddaff
.....
 
Bitoz
Hongera nimekuona kwenye je wajua!!! We ni member wa Jf mwenye likes nyingii kuliko hata mwenye forum.....
Thanks
Kawaida tu ila sizitafuti likes kwa nguvu...kumbuka kabla ya huu uzi ninazo thread zaidi ya 20 mojawapo ni sticky jukwaa la utanashati pia jamii photos ninazo thread km 5 ila "hapa vipi?" ndo imebamba....chit chat pia zipo baadhi nimeedit kwa kuzifuta nilichoandika ili zife

Siku hizi nimeacha kuanzisha thread
...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom