Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Asante mkuu kwa historiaLeo katika Historia:
Niwatakie Jumanne njema.
1979 - Utawala wa Dikteta Idd Amini Dada wa Uganda unafikia kikomo nchini humo mara baada ya kuondoshwa na majeshi ya Tanzania katika vita ya Uganda.
ThanksBitoz
Hongera nimekuona kwenye je wajua!!! We ni member wa Jf mwenye likes nyingii kuliko hata mwenye forum.....
2002 - Watu takribani laki mbili wanaandamana katika mji wa Caracas wakishinikiza Rais wa kipindi hiko Hugo Chavez ajiuzulu wadhifa wake.
Takribani watu 19 wanauwawa katika maandamano hayo.
Hugo Chavez mmoja kati ya Viongozi imara na walioisumbua Marekani kwa misimamo yao mikali.
hii ni hatari!
Goodmorning sirGoodmorning guys
1990 - Thulani Serero anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Ajax Capetown ambaye kwasasa anakipiga Ajax Amsterdam na timu ya taifa ya South Africa.
Morning mkuuMorning wakuu
Niko poa, shukrani!Asante mkuu kwa historia
Hope umeamka salama!!
kumbe mange anaongeaga ukweli lkn, mzee wa mabadiliko sijutii kumpa kura yangu- Siku ya kimataifa ya kupambana na ugonjwa wa Parkinson.
Ndio ugonjwa anaoumwa Mzee Lowassa.
Asante Mussolin kwa historia na Bitoz kwa pichaLeo katika Historia:
Niwatakie Jumanne njema.