Makapuku Forum

Makapuku Forum

d5d9936c842923077906a7a6da0c54df.jpg
 
Asante mkuuu

Kwa ufupi tu

Vpl;

Mbao fc wamejichinja wenyewe na nidhamu yao mbovu kabisa.... Unapo cheza na klabu kubwa nidhamu ya kuuanza mchezo na nidhamu ya kuumaliza mchezo ni shurti iwe katika vichwa vya wachezaji maana klabu kubwa inambinu nyingi za kuumaliza mchezo sana .... Shikamoo Simba japo apo kinachofuata ni kuombeana mabaya jirani kwa jirani





Asante mkuuu

Kwa ufupi tu

Vpl;

Mbao fc wamejichinja wenyewe na nidhamu yao mbovu kabisa.... Unapo cheza na klabu kubwa nidhamu ya kuuanza mchezo na nidhamu ya kuumaliza mchezo ni shurti iwe katika vichwa vya wachezaji maana klabu kubwa inambinu nyingi za kuumaliza mchezo sana .... Shikamoo Simba japo apo kinachofuata ni kuombeana mabaya jirani kwa jirani
Pamoja sana Dr lee

Katibu mkuu
 
Nakuelewaga sana mume wa Sakayo!!!
Ni venye unajua kuliweka tabasamu usoni mwangu!!!

We ndo mwanaume ambae natamani niwe nae milele!!!

Najua Mungu amekuleta kwangu makusudi, ili niwe mwanamke wa kwanza kuwa na tabasamu la milele!!!!

Umefanikiwa kuuteka moyo wangu, naomba baki nao mpenzi!!!!! Baki nao ufanye venye unapenda, sioni sehemu salama yakuupeleka mpenzi!!!!!

Majina mazuri yooote nimekwisha yaita sioni la kukuita linaloweza kuuridhisha moyo wako, ila nikisema NAKUPENDA najua venye moyo wako unafeel!!! Then NAKUPENDA, NAKUPENDA, NAKUPENDA, NAKUPENDA!!!

Naomba ulale mume wangu!!! Mungu wangu na akufunike kwa damu yake usiku waleo!!!
Uache kumuogopa boss
 
Tupate ratiba ya mechi za leo barani ulaya
UEFA CHAMPIONS LEAGUE
Dortmund anamkaribisha Monaco akiwa na kumbukumbu ya kapoteza dhidi ya Bayern pale Allianz Arena 4-1 ni mechi nzuri sana,
Pia Juventus atamkaribisha Barcelona jijini Turin
6d890f0f9a5ad4429f035a8b2c1ab634.jpg

Uganda Premier League
3549fd9231a99cb4df883302cc4b1d2c.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom