Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Asante shuniekaribu mndali
Mdogo wangu mbona sisi na lee tunatanianaNyinyi T na Leee nimekuja JF kuchat sijaja kubeba waume za watu kwenye miugomvi yenu huko msinishirikishe kama hamjui utani hana haja ya Ku quote kitu alicho post MTU km unahisi kimekukeraa llooooo wanaume ninao mpk wengine nimewasahauuu poleni mnaobabaika fyuuuuuuu



Juve ana tabia ya kubadilika japo kwa mechi Tatu zilizopita hajacheza ipasavyo hasa game dhidi ya Napoli akipoteza kwa 3-2 ile performance haikuwa nzuri pia game ya juzi vivyo hivyo, yote kwa yote game ni nzuri sana MSN wanataka kurudisha ubutu walioupata dhidi ya MalagaMkuu Leo inanipa shida kudadavua nani anachukua advantage kwa mwenzake ule umakini wa kibibi kizee cha kule changanya umakini wa forward pale barca najua ushaona kuwa apa tunamwachia mzee wa historia yake aongeze timu yake vizuri uku nikijiuliza je messi atanyoa ndevu Leo au ataingia na ndevu zake make ndo kitu kilichobaki kizuri kwake haswa japo ubora wake huwezi kuupinga
Hapa naziona 1 to 1 plus touch za mzee iniesta uku nikijiuliza maswali rukuki je ndio sababu pelez anamtaka Ngolo?? Lakini hayatuhusu hayo ....
Leo Mimi muhindi ntamua kwa style nayojua Mimi hata ikibidi sitomsikiliza Marson na prediction zake
Anyway tusisahau at time matokeo ya UEFA waga yana uwiano kwa Siku husika japo sio constant kama avagadro constant ....
Juve kuanzia kwake ni advantage ila ni more advantageous kwa Barca kuanzia ugenini japo uwepo wa Mr captain mwenye timu yake pande zote loooooh kazi ipo kweli .....zile pundamilia like na jeep kifuani zitavaliwa kwa wingi Leo ila kama unayo na wewe usiende nayo kwa kanjibai utakosesha wengi amani....
Epa najiuliza maswali mengi mwekahazina na kapuku msinishangae je Massimiliamo Allegri anamtegemea Paulo Dybala kutimiza ndoto zake pale Tulin au uimara wa mlinda lango lao ,ila akitegemea ubovu wa mara moja moja wa MSN naona kutamponza make miaka 20 sio mchezo
Wakuu ,draw ,kushinda na kushindwa nayo ni matokeo
KhaaaaNyinyi T na Leee nimekuja JF kuchat sijaja kubeba waume za watu kwenye miugomvi yenu huko msinishirikishe kama hamjui utani hana haja ya Ku quote kitu alicho post MTU km unahisi kimekukeraa llooooo wanaume ninao mpk wengine nimewasahauuu poleni mnaobabaika fyuuuuuuu



jovithaKiasi tuHahaha
Umejua kuniotea ujue!!!
Nzuri tu, unaendeleajeNiko salama shem
Habari yako lakini
Mdogo wangu mbona sisi na lee tunataniana
Wewe umechukulia serious...?
Huu ndo utani wetu wala haujaanza leo...




mpk sasa nacheka nyie jamaanVery well hilo tu wala usikonde shemNyagei
Nasikia we body guard wangu!! Naomba unitumie picha yako nikiridhika ndo uwe body guard...
La muhimu Naomba unifundishe mpira bhana
Mkuu leo nimekuja maana naona hutaki kunukaribishaNzuri tu, unaendeleaje
Kwenye ubora wakeMahmud anajua kumtengeneza MDUDUU!!!
Yeah mzima namshukuru Mungu.micn u too Rogie mzima lkn
Dauda huwa simuelewiet we ni shafii dauda
Aka mwenzangu mi siuwezi T & Lee kwaheriniii akuu kunguru muoga hukwepesha mbawa zakeMdogo wangu mbona sisi na lee tunataniana
Wewe umechukulia serious...?
Huu ndo utani wetu wala haujaanza leo...

Hahahaaaa!mpk sasa nacheka nyie jamaan




NnKhaaaajovitha
HahahaUchochezi unaujua
Yaani wewe inabidi tukusajili huku...Aka mwenzangu mi siuwezi T & Lee kwaheriniii akuu kunguru muoga hukwepesha mbawa zake![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()



Ngoja ni logg off kabisaaPouwa...! Namsubiria..
Ila wewe na shunie mtanisamehe leo...! Naweza nikawaudhi kidogo..
Mtaniwia radhi..