Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
msamehe sbbu amejua kosa lake na anajutiaNamfikiria
mourinho amrudishe tu chicharito jamaanMichezo na burudani
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ameen ubarikiwe zaidi na ww baba wattoWakuu tuzidi kubarikiwa
et we ni shafii daudaAsante mkuuu
Kwa ufupi tu
Vpl;
Mbao fc wamejichinja wenyewe na nidhamu yao mbovu kabisa.... Unapo cheza na klabu kubwa nidhamu ya kuuanza mchezo na nidhamu ya kuumaliza mchezo ni shurti iwe katika vichwa vya wachezaji maana klabu kubwa inambinu nyingi za kuumaliza mchezo sana .... Shikamoo Simba japo apo kinachofuata ni kuombeana mabaya jirani kwa jirani
Asante mkuuu
Kwa ufupi tu
Vpl;
Mbao fc wamejichinja wenyewe na nidhamu yao mbovu kabisa.... Unapo cheza na klabu kubwa nidhamu ya kuuanza mchezo na nidhamu ya kuumaliza mchezo ni shurti iwe katika vichwa vya wachezaji maana klabu kubwa inambinu nyingi za kuumaliza mchezo sana .... Shikamoo Simba japo apo kinachofuata ni kuombeana mabaya jirani kwa jirani
hahahhhah picha gan awekeBaby
Aweke picha kwanza bhana!!
Hahaha
Aweke picha kwanza
AmeenHabarini za asubuhi Makapuku?
Neema ya bwana ikatuangazie siku ya leo
Pole sana Mama mchuchu Mungu akufanyie wepesi kwa hayo unayopitiaJamani asante sana ubarikiwe sanasana asante kunipa heshima hii,sikusoma jana napitia changamoto fulani naomba mniombee makapuku wote .
tunakuombea na tunakupenda sana.
Nyagei
Nasikia we body guard wangu!! Naomba unitumie picha yako nikiridhika ndo uwe body guard...
La muhimu Naomba unifundishe mpira bhana




shikamoo fakalavaMkuu sikumaanisha kuwa ni wewe bali nilikutumia kama Mfano a.k.a Shamba darasa.
Mzigoni kama kawaidamsamehe sbbu amejua kosa lake na anajutia
Umefanya maksudiii babymourinho amrudishe tu chicharito jamaan
Baba mchuchu humu mpo wawiliAmen

hahahhhhUnamanisha inspector wizzy le mubebez
Mmh hivi mbona hueleweki na binamu obe naeBaba mchungaji hope uko vizuri mama mchungaji ashatusalimia
Mpenzi shuny natambua fika umenimis na umeamka poa ..Mimi sina cha kuongea zaidi yaAmeen ubarikiwe zaidi na ww baba watto
Barcelona analala.....Dyabala anang'aaMkuu Leo inanipa shida kudadavua nani anachukua advantage kwa mwenzake ule umakini wa kibibi kizee cha kule changanya umakini wa forward pale barca najua ushaona kuwa apa tunamwachia mzee wa historia yake aongeze timu yake vizuri uku nikijiuliza je messi atanyoa ndevu Leo au ataingia na ndevu zake make ndo kitu kilichobaki kizuri kwake haswa japo ubora wake huwezi kuupinga
Hapa naziona 1 to 1 plus touch za mzee iniesta uku nikijiuliza maswali rukuki je ndio sababu pelez anamtaka Ngolo?? Lakini hayatuhusu hayo ....
Leo Mimi muhindi ntamua kwa style nayojua Mimi hata ikibidi sitomsikiliza Marson na prediction zake
Anyway tusisahau at time matokeo ya UEFA waga yana uwiano kwa Siku husika japo sio constant kama avagadro constant ....
Juve kuanzia kwake ni advantage ila ni more advantageous kwa Barca kuanzia ugenini japo uwepo wa Mr captain mwenye timu yake pande zote loooooh kazi ipo kweli .....zile pundamilia like na jeep kifuani zitavaliwa kwa wingi Leo ila kama unayo na wewe usiende nayo kwa kanjibai utakosesha wengi amani....
Epa najiuliza maswali mengi mwekahazina na kapuku msinishangae je Massimiliamo Allegri anamtegemea Paulo Dybala kutimiza ndoto zake pale Tulin au uimara wa mlinda lango lao ,ila akitegemea ubovu wa mara moja moja wa MSN naona kutamponza make miaka 20 sio mchezo
Wakuu ,draw ,kushinda na kushindwa nayo ni matokeo
hahahhhh nilijua tu nimefanya maksudi au unataka kunichapaUmefanya maksudiii baby