Makapuku Forum

Makapuku Forum

Michezo na burudani

c3aba48a7f826ac8628c064a6469b787.jpg
639b8bbf1b84827625bcd08f5b2160a3.jpg
89f3ae75bf0cc42ee5f55f56af1dc546.jpg
589b1a9c5ee63606ececed0e7e8dcbbd.jpg
4b8c0aee37e08275cebc741a2da318b0.jpg
f5e777235c9ae91480a9f817887a0324.jpg
3d21d7da9f60dbd6b16a12ad421c8b0d.jpg
mourinho amrudishe tu chicharito jamaan
 
Asante mkuuu

Kwa ufupi tu

Vpl;

Mbao fc wamejichinja wenyewe na nidhamu yao mbovu kabisa.... Unapo cheza na klabu kubwa nidhamu ya kuuanza mchezo na nidhamu ya kuumaliza mchezo ni shurti iwe katika vichwa vya wachezaji maana klabu kubwa inambinu nyingi za kuumaliza mchezo sana .... Shikamoo Simba japo apo kinachofuata ni kuombeana mabaya jirani kwa jirani





Asante mkuuu

Kwa ufupi tu

Vpl;

Mbao fc wamejichinja wenyewe na nidhamu yao mbovu kabisa.... Unapo cheza na klabu kubwa nidhamu ya kuuanza mchezo na nidhamu ya kuumaliza mchezo ni shurti iwe katika vichwa vya wachezaji maana klabu kubwa inambinu nyingi za kuumaliza mchezo sana .... Shikamoo Simba japo apo kinachofuata ni kuombeana mabaya jirani kwa jirani
et we ni shafii dauda
 
Mkuu Leo inanipa shida kudadavua nani anachukua advantage kwa mwenzake ule umakini wa kibibi kizee cha kule changanya umakini wa forward pale barca najua ushaona kuwa apa tunamwachia mzee wa historia yake aongeze timu yake vizuri uku nikijiuliza je messi atanyoa ndevu Leo au ataingia na ndevu zake make ndo kitu kilichobaki kizuri kwake haswa japo ubora wake huwezi kuupinga

Hapa naziona 1 to 1 plus touch za mzee iniesta uku nikijiuliza maswali rukuki je ndio sababu pelez anamtaka Ngolo?? Lakini hayatuhusu hayo ....

Leo Mimi muhindi ntamua kwa style nayojua Mimi hata ikibidi sitomsikiliza Marson na prediction zake

Anyway tusisahau at time matokeo ya UEFA waga yana uwiano kwa Siku husika japo sio constant kama avagadro constant ....

Juve kuanzia kwake ni advantage ila ni more advantageous kwa Barca kuanzia ugenini japo uwepo wa Mr captain mwenye timu yake pande zote loooooh kazi ipo kweli .....zile pundamilia like na jeep kifuani zitavaliwa kwa wingi Leo ila kama unayo na wewe usiende nayo kwa kanjibai utakosesha wengi amani....

Epa najiuliza maswali mengi mwekahazina na kapuku msinishangae je Massimiliamo Allegri anamtegemea Paulo Dybala kutimiza ndoto zake pale Tulin au uimara wa mlinda lango lao ,ila akitegemea ubovu wa mara moja moja wa MSN naona kutamponza make miaka 20 sio mchezo

Wakuu ,draw ,kushinda na kushindwa nayo ni matokeo
Barcelona analala.....Dyabala anang'aa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom