Don't cry!
Huyu mama alikuwa na uraia wa karibia nchi saba,
Serbia
Albania
Macedonia
India
Yugoslavia
Na nchi zingine za ulaya..
Mama Teresa aliondoka kwao akiwa na miaka 18 baada ya kifo cha baba yake..
Toka alivyondoka nyumbani kwa hakuwa kumuona dada yake wala mama yake mzazi tena..
Mama Teresa aliamini katika kutoa na kusaidia wasio jiweza hasa wagonjwa na yatima..
Mtakumbuka mwaka 1979 alipewa Tuzo ya Nobel ( Nobel peace prize)
Ninukuu maneno ya speech yake siku ya kupewa tuzo..
Around the world, not only in the poor countries, but I found the poverty of the West so much more difficult to remove. When I pick up a person from the street, hungry, I give him a plate of rice, a piece of bread, I have satisfied. I have removed that hunger. But a person that is shut out, that feels unwanted, unloved, terrified, the person that has been thrown out from society—that poverty is so hurtable
Duniani kote, sio kwa nchi maskini tuu, ila kuondoka umaskini wa magharibi ni vigumu, nikimpata mgonjwa mtaani ana njaa ,nampa sahani ya wali, kipande cha mkate na nina ridhika, lakini hali ya kutengwa, kutokukubalika, kutokupendwa, kutishwa, kutengwa na jamii yako... HUU UMASKINI UNAUMA SANA
Hela ambayo alipewa kiasi cha 129,000 Usd, alisema kikasaidie maskini nchini india..
Huyu mama alikuwa na mtu wa pekee sana..