Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Thanks Chap!!!.....in Swahili yaitwaje?Yes daddy
Thanks Chap!!!.....in Swahili yaitwaje?Yes daddy
Hiki kipengele cha proverb mkuu kivalie njuga
Wanajaribu kuzuia mlio wa bunduki kwa kutumia puto yaani wanajaribu kuficha uovu kwa njia ambazo ni rahisi kuugundua uovu waoUmeniwahi mkuu kwenye tafakari ya kirat ..mm apa sijampata kipanya kabisa
Upo vzr upande wa kuchambua mpira.
Am sure utakua kocha wa timu za watoto hapo mtaani
Sarcastic

Boga>>>>mbogaNiwekee picha ya hiyo boga , kwa kiswahili yaitwaje?![]()
Naona jinsi Mbao kashachukua point tatu mbele ya simba kibogoyoTupate ratiba ya mechi za leo
VPL
![]()
Mbao akimkamkaribisha Simba huku Mtibwa akiwa mwenyeji wa Azam kule Manumbu Turiani
EPL
![]()
Je na leo Crystal Palace ataharibu kwa Arsenal kama alivyofanya kwa Chelsea?
LaLiga
![]()
Kajamaa kako vizuri kwa kichwa!Wanajaribu kuzuia mlio wa bunduki kwa kutumia puto yaani wanajaribu kuficha uovu kwa njia ambazo ni rahisi kuugundua uovu wao
Kuna tafsiri zaidi ya 100
.....
Barca niliofia baada ya Madrid kupoteza point zote walicheza bila malengo ....wakijuaa wanaenda topHuwezi amini nafika kwa muhindi nikaweka Stoke aongoze kipindi kimoja tu
Aliyechana ni Barcelona kufungwa
Kweli MUNGU kanitendea Maajabu makubwa....sikutalajia kabsa kwa ufaham wanguAmina, hakika Mungu ni Mkuu
Tafsiri ni zaidi ya 100Mkuu balozi
Nilivomsoma kirat ni kwamba inatumika nguvu kubwa zaidi kudili na vitu vidogo ...In summary lakin
Amina....heri zenu zimefanya nipate wepesiAshukuriwe Mungu mkuu
Chelsea ni njia nyeupe tu hatuna namna awe bingwa tu, Tottenham nae top four inamuhusu moja kwa moja hata man city kazi ipo namba nne zaidi Arsenal, Liverpool and Man United hapo ndio patamuNi kweli mzee Wenger anaweza kukumbana na ya mzee wa blues ila kumbuka Chelsea biashara walishafanya mpaka kwenye alama 72 sasa kilichobaki na wanachokifanya kwa sasa ni mahesabu tu..... Walianza na hesabu ya alama +18 na sasa wanaendelea kuhesabu +15 zilizobaki.
Biashara ni hasubuhi na jioni ni mahesabu tu....
Sio mbaya tukamuacha Chelsea auwaze ubingwa uku wengine tukigombea top 4
Hata ukimpata zawadi anaweza lia piaHe like Crying woman.
Unahisi hua anamfanyaje ili alie sasa
Oohooo labda kamaanisha vingine......
Apo ndo nampendea anko kirat ...Wanajaribu kuzuia mlio wa bunduki kwa kutumia puto yaani wanajaribu kuficha uovu kwa njia ambazo ni rahisi kuugundua uovu wao
Kuna tafsiri zaidi ya 100
.....
Werrason watu hatupendi majina mazrMkubhi maana yake ni mbogamboga?![]()

Hiyo nayo ni neema Mkuu.....Bado haijaanza mvua tu huku mkuu
Endelea kumtumainia yeye siku zote, hakika baraka zake utaziona!!!Kweli MUNGU kanitendea Maajabu makubwa....sikutalajia kabsa kwa ufaham wangu
Acha hizo!!!Itakuwa naye katekwa![]()
![]()
![]()
HayaYale maneno ya muda sana
Usiwe unapekua sana
Tunapinga unwantedWana chembe chembe za uchochezi