mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,216
- 3,319
Ila sio kwa lipumba na BASHITEBinadamu tunawapa watu heshima na tunawadharau kutoka na nafasi zao maishani mwetu
Leo hii magu angekuwa baba yako ingekuwa vigumu mno kutokumkubali..though inawezekana kutokubaliana nae..
Ila nafasi aliyonayo mtu kwako ndio determinant ya namna utakavyo mtreat..
Na ndio maana Jambazi akipigwa na kuuliwa na watu, bado wako watakao mlilia tuu ..
Ukiweza kuwa na roho safi na kumpa mtu kile anachostahili utakiwa shujaa..
Nooooo!!!