Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binadamu tunawapa watu heshima na tunawadharau kutoka na nafasi zao maishani mwetu


Leo hii magu angekuwa baba yako ingekuwa vigumu mno kutokumkubali..though inawezekana kutokubaliana nae..

Ila nafasi aliyonayo mtu kwako ndio determinant ya namna utakavyo mtreat..

Na ndio maana Jambazi akipigwa na kuuliwa na watu, bado wako watakao mlilia tuu ..

Ukiweza kuwa na roho safi na kumpa mtu kile anachostahili utakiwa shujaa..
Ila sio kwa lipumba na BASHITE
 
5754a4ddd899e198d0f544fde3d7e00c.jpg
Exactly
 
Asante mkuu sikuona update mapema

Epl mambo matamuuuu

Twende sawa wakuu ukiwaacha wale wawili wa juu waende zao..... Basi huku kwenye top four ni pagumu sana kujua nani anabaki na Nani anatoka maana 63, 61, 57 na 54 hizi ni nambari za alama mujarabu kabisa katika vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Sunderland ni kama teyari keshakufa ila Bado anasubiriwa Bradley tu kupeleka maua mwisho wa Msimu..... Sijawahi kukata tamaa ila kwa namna wanavyojikongoja Msimu ujao hakutakuwa na EPL pale Stadium of light....... David Moyes the Choosen one naona survival black cat wanafia mikononi mwako mzee.

Pamoja na red card ila Bado Sunderland hakuwa na mawazo ya kumzuia Mourinho kwa ....

Sunderland 0-3 Manchester united

Leo sijui mzee wetu Wenger anamshusha jirani yake ??

Kama kumuua mhindi weekend hii najua braza mwekahazina ulifanya chaguo sio sahihi ...
Sunderland wabadili kocha
 
Chelsea ni njia nyeupe tu hatuna namna awe bingwa tu, Tottenham nae top four inamuhusu moja kwa moja hata man city kazi ipo namba nne zaidi Arsenal, Liverpool and Man United hapo ndio patamu
United ana mechi dhidi ya Chelsea, Arsenal, City na Tottenham moja nyumbani Tatu ugenini ni ngumu sana mechi mbili Etihad na kwa Tottenham

Arsenal ana United, na Tottenham kwake zote ni ngumu
Liverpool alishamaliza wakubwa ila ugonjwa wake wa timu ndogo bado upo
Kweli mkuu penye ukweli tunasema
Arsenal bado ,man u bado ..Liverpool ugonjwa wake unajulikanaa sana

Inshort top 4 wenye uhakika wawili
 
You make me cry!!!
Don't cry!

Huyu mama alikuwa na uraia wa karibia nchi saba,

Serbia
Albania
Macedonia
India
Yugoslavia
Na nchi zingine za ulaya..

Mama Teresa aliondoka kwao akiwa na miaka 18 baada ya kifo cha baba yake..

Toka alivyondoka nyumbani kwa hakuwa kumuona dada yake wala mama yake mzazi tena..

Mama Teresa aliamini katika kutoa na kusaidia wasio jiweza hasa wagonjwa na yatima..

Mtakumbuka mwaka 1979 alipewa Tuzo ya Nobel ( Nobel peace prize)

Ninukuu maneno ya speech yake siku ya kupewa tuzo..

Around the world, not only in the poor countries, but I found the poverty of the West so much more difficult to remove. When I pick up a person from the street, hungry, I give him a plate of rice, a piece of bread, I have satisfied. I have removed that hunger. But a person that is shut out, that feels unwanted, unloved, terrified, the person that has been thrown out from society—that poverty is so hurtable

Duniani kote, sio kwa nchi maskini tuu, ila kuondoka umaskini wa magharibi ni vigumu, nikimpata mgonjwa mtaani ana njaa ,nampa sahani ya wali, kipande cha mkate na nina ridhika, lakini hali ya kutengwa, kutokukubalika, kutokupendwa, kutishwa, kutengwa na jamii yako... HUU UMASKINI UNAUMA SANA

Hela ambayo alipewa kiasi cha 129,000 Usd, alisema kikasaidie maskini nchini india..

Huyu mama alikuwa na mtu wa pekee sana..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom