Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binadamu tunawapa watu heshima na tunawadharau kutoka na nafasi zao maishani mwetu


Leo hii magu angekuwa baba yako ingekuwa vigumu mno kutokumkubali..though inawezekana kutokubaliana nae..

Ila nafasi aliyonayo mtu kwako ndio determinant ya namna utakavyo mtreat..

Na ndio maana Jambazi akipigwa na kuuliwa na watu, bado wako watakao mlilia tuu ..

Ukiweza kuwa na roho safi na kumpa mtu kile anachostahili utakiwa shujaa..
Nimekuelewa vizuri
......
 
c127b2df98b30e854e949e28bb9448b2.jpg

Aliyeelewa afunguke
.....
 
Asante mkuu sikuona update mapema

Epl mambo matamuuuu

Twende sawa wakuu ukiwaacha wale wawili wa juu waende zao..... Basi huku kwenye top four ni pagumu sana kujua nani anabaki na Nani anatoka maana 63, 61, 57 na 54 hizi ni nambari za alama mujarabu kabisa katika vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Sunderland ni kama teyari keshakufa ila Bado anasubiriwa Bradley tu kupeleka maua mwisho wa Msimu..... Sijawahi kukata tamaa ila kwa namna wanavyojikongoja Msimu ujao hakutakuwa na EPL pale Stadium of light....... David Moyes the Choosen one naona survival black cat wanafia mikononi mwako mzee.

Pamoja na red card ila Bado Sunderland hakuwa na mawazo ya kumzuia Mourinho kwa ....

Sunderland 0-3 Manchester united

Leo sijui mzee wetu Wenger anamshusha jirani yake ??

Kama kumuua mhindi weekend hii najua braza mwekahazina ulifanya chaguo sio sahihi ...
Upo vzr upande wa kuchambua mpira.
Am sure utakua kocha wa timu za watoto hapo mtaani
Sarcastic
 
Asante mkuu sikuona update mapema

Epl mambo matamuuuu

Twende sawa wakuu ukiwaacha wale wawili wa juu waende zao..... Basi huku kwenye top four ni pagumu sana kujua nani anabaki na Nani anatoka maana 63, 61, 57 na 54 hizi ni nambari za alama mujarabu kabisa katika vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Sunderland ni kama teyari keshakufa ila Bado anasubiriwa Bradley tu kupeleka maua mwisho wa Msimu..... Sijawahi kukata tamaa ila kwa namna wanavyojikongoja Msimu ujao hakutakuwa na EPL pale Stadium of light....... David Moyes the Choosen one naona survival black cat wanafia mikononi mwako mzee.

Pamoja na red card ila Bado Sunderland hakuwa na mawazo ya kumzuia Mourinho kwa ....

Sunderland 0-3 Manchester united

Leo sijui mzee wetu Wenger anamshusha jirani yake ??

Kama kumuua mhindi weekend hii najua braza mwekahazina ulifanya chaguo sio sahihi ...
Huwezi amini nafika kwa muhindi nikaweka Stoke aongoze kipindi kimoja tu

Aliyechana ni Barcelona kufungwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom