Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Na sasa kadi imewagharimu kwenye El classicoBarca niliofia baada ya Madrid kupoteza point zote walicheza bila malengo ....wakijuaa wanaenda top
Na sasa kadi imewagharimu kwenye El classicoBarca niliofia baada ya Madrid kupoteza point zote walicheza bila malengo ....wakijuaa wanaenda top
Asante mamie..karibu mtoriNawe pia uwe na jumatatu njema!!!
Karibu chai mume wa Sakayo
Mimi kwa EPL ya mda huu m-bet wanipe likizo kwanza.... Kwa maana timu nyingi zinapambana kujiweka mahari pazr...Asante mkuu sikuona update mapema
Epl mambo matamuuuu
Twende sawa wakuu ukiwaacha wale wawili wa juu waende zao..... Basi huku kwenye top four ni pagumu sana kujua nani anabaki na Nani anatoka maana 63, 61, 57 na 54 hizi ni nambari za alama mujarabu kabisa katika vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Sunderland ni kama teyari keshakufa ila Bado anasubiriwa Bradley tu kupeleka maua mwisho wa Msimu..... Sijawahi kukata tamaa ila kwa namna wanavyojikongoja Msimu ujao hakutakuwa na EPL pale Stadium of light....... David Moyes the Choosen one naona survival black cat wanafia mikononi mwako mzee.
Pamoja na red card ila Bado Sunderland hakuwa na mawazo ya kumzuia Mourinho kwa ....
Sunderland 0-3 Manchester united
Leo sijui mzee wetu Wenger anamshusha jirani yake ??
Kama kumuua mhindi weekend hii najua braza mwekahazina ulifanya chaguo sio sahihi ...
Mmmhhh!!!Asante kaka!
Muinue alieko chini, mpende aliyetegwa..
Katekwa na MMU!?!?![]()
![]()
![]()
Sina maana hiyoo(in Jk's voice)He like Crying woman.
Unahisi hua anamfanyaje ili alie sasa
Oohooo labda kamaanisha vingine......

HakikaKweli mkuu penye ukweli tunasema
Arsenal bado ,man u bado ..Liverpool ugonjwa wake unajulikanaa sana
Inshort top 4 wenye uhakika wawili
Amina mkuuKuna msemo mmoja aliusema Bishop To Jakes
"If you're feeling depressed and stressed let it go"
Huwa na-apply pia
Let it go yuko vzr sanaKuna msemo mmoja aliusema Bishop To Jakes
"If you're feeling depressed and stressed let it go"
Huwa na-apply pia
Wacha weeeSina maana hiyoo(in Jk's voice)![]()
Umeanza vizuri ila ulivyo malizia tuuu...Yeah!!! Huwa hawako depressed na hawana vinyongo.....n I like kuwabembeleza
Unataka wabadili gia angani?Sunderland wabadili kocha
Unajidai Faiza Foxy eeh???Boga>>>>mboga
Chakula chetu wakitaka cha nini?
Nimeziona katibuBalozi ashasema kuna definition zaid ya 100 na ni kwelii
Pia pale Kanisa katoliki Kigogo Mburahati kuna kituo chake cha kulelea watoto yatima nafikiri aliwahi kuja miaka ya 90's japo sina kumbukumbu wala uhakika wa ujio wakeDon't cry!
Huyu mama alikuwa na uraia wa karibia nchi saba,
Serbia
Albania
Macedonia
India
Yugoslavia
Na nchi zingine za ulaya..
Mama Teresa aliondoka kwao akiwa na miaka 18 baada ya kifo cha baba yake..
Toka alivyondoka nyumbani kwa hakuwa kumuona dada yake wala mama yake mzazi tena..
Mama Teresa aliamini katika kutoa na kusaidia wasio jiweza hasa wagonjwa na yatima..
Mtakumbuka mwaka 1979 alipewa Tuzo ya Nobel ( Nobel peace prize)
Ninukuu maneno ya speech yake siku ya kupewa tuzo..
Around the world, not only in the poor countries, but I found the poverty of the West so much more difficult to remove. When I pick up a person from the street, hungry, I give him a plate of rice, a piece of bread, I have satisfied. I have removed that hunger. But a person that is shut out, that feels unwanted, unloved, terrified, the person that has been thrown out from society—that poverty is so hurtable
Duniani kote, sio kwa nchi maskini tuu, ila kuondoka umaskini wa magharibi ni vigumu, nikimpata mgonjwa mtaani ana njaa ,nampa sahani ya wali, kipande cha mkate na nina ridhika, lakini hali ya kutengwa, kutokukubalika, kutokupendwa, kutishwa, kutengwa na jamii yako... HUU UMASKINI UNAUMA SANA
Hela ambayo alipewa kiasi cha 129,000 Usd, alisema kikasaidie maskini nchini india..
Huyu mama alikuwa na mtu wa pekee sana..
Mkuu kweli nyie gombanieni huko na mkiwa mnajiandaa kuja kutuvisha medali blues!!!Ni kweli mzee Wenger anaweza kukumbana na ya mzee wa blues ila kumbuka Chelsea biashara walishafanya mpaka kwenye alama 72 sasa kilichobaki na wanachokifanya kwa sasa ni mahesabu tu..... Walianza na hesabu ya alama +18 na sasa wanaendelea kuhesabu +15 zilizobaki.
Biashara ni hasubuhi na jioni ni mahesabu tu....
Sio mbaya tukamuacha Chelsea auwaze ubingwa uku wengine tukigombea top 4
MkuuBig up mkuu nimeipenda sana nukuu ya leo inagusa sana
Aliyetegwa>>>>Aliyetengwa.