Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Binadamu tunawapa watu heshima na tunawadharau kutoka na nafasi zao maishani mwetuKweli ni kitu kibaya lakini kuna pipo zinastahili kudharauriwa + kutoheshimiwa na pia hazikubaliki refer to Bashite na Lipumba maana wenyewe hazijiheshimu
Ila ni ving'ang'anizi balaa
.....
Leo hii magu angekuwa baba yako ingekuwa vigumu mno kutokumkubali..though inawezekana kutokubaliana nae..
Ila nafasi aliyonayo mtu kwako ndio determinant ya namna utakavyo mtreat..
Na ndio maana Jambazi akipigwa na kuuliwa na watu, bado wako watakao mlilia tuu ..
Ukiweza kuwa na roho safi na kumpa mtu kile anachostahili utakiwa shujaa..

I like crying women
<br />[quote uid=403725 name="lee empire" post=20593767]Na Mimi japo ni wajibu kuweka ila ntaliacha kuliweka[/QUOTE]