Makapuku Forum

Makapuku Forum

6c0c2f1abe9f7a9e1ae60c2918b6e15d.jpg
Natamanigi hili zageti lisipostiwe!!!

mie ndukii
 
NUKUU YA LEO

The biggest diseaase today is not leprosy or tuberclosis, but rather the feeling of being unwanted

Ugonjwa mkubwa leo hii sio ukoma wala kifuu kikuu, bali ni hali ya kutokukubalika

Haya maneno yalipatwa kusemwa na mtakatifu mama Teresa wa calcutta.

Mama Teresa alizaliwa katika mji wa Anjezë Gonxhe Bojaxhiu nchini macedonia tar. 26/8/1910 na kufariki akiwa na miaka 87, tar. 26/9/ 1997.

Mama Teresa atakumbukwa kwa kujali wanyonge, wagonjwa, na wa watu wanaotengwa na jamii kutokana na matatizo ya kiafya.
95f102c73235779db75c2aac8922da4e.jpg


203335bac0e859cba38252b0dcbc37fd.jpg


Morning motivational.

Hakuna kitu kibaya kama kutokukubalika, kutokusikilizwa, kutopewa kipaumbele, kutokuthaminiwa, kudharauliwa na hali kama hizo..

Mjali mtu kwa nafasi, mehushimu kila mtu !

Transcend
You make me cry!!!
 
NUKUU YA LEO

The biggest diseaase today is not leprosy or tuberclosis, but rather the feeling of being unwanted

Ugonjwa mkubwa leo hii sio ukoma wala kifuu kikuu, bali ni hali ya kutokukubalika

Haya maneno yalipatwa kusemwa na mtakatifu mama Teresa wa calcutta.

Mama Teresa alizaliwa katika mji wa Anjezë Gonxhe Bojaxhiu nchini macedonia tar. 26/8/1910 na kufariki akiwa na miaka 87, tar. 26/9/ 1997.

Mama Teresa atakumbukwa kwa kujali wanyonge, wagonjwa, na wa watu wanaotengwa na jamii kutokana na matatizo ya kiafya.
95f102c73235779db75c2aac8922da4e.jpg


203335bac0e859cba38252b0dcbc37fd.jpg


Morning motivational.

Hakuna kitu kibaya kama kutokukubalika, kutokusikilizwa, kutopewa kipaumbele, kutokuthaminiwa, kudharauliwa na hali kama hizo..

Mjali mtu kwa nafasi, mehushimu kila mtu !

Transcend
Heshima kwakooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom