Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Tuko poaa mkuuMorning guys mko poa
Tuko poaa mkuuMorning guys mko poa
Nipashe siwaelewii kwanza Siku hiziAjira 100k ?
Labda za kubeba zege wkt wa ujenzi
...
![]()
Jana almasi iligeuzwa maji nini au convertion reactions ziliishia njiani??
anasema amemsamehe huku ameshasema ni mason
Ameeen mkuu nakuona kama kawaida yako
You make me cry!!!NUKUU YA LEO
The biggest diseaase today is not leprosy or tuberclosis, but rather the feeling of being unwanted
Ugonjwa mkubwa leo hii sio ukoma wala kifuu kikuu, bali ni hali ya kutokukubalika
Haya maneno yalipatwa kusemwa na mtakatifu mama Teresa wa calcutta.
Mama Teresa alizaliwa katika mji wa Anjezë Gonxhe Bojaxhiu nchini macedonia tar. 26/8/1910 na kufariki akiwa na miaka 87, tar. 26/9/ 1997.
Mama Teresa atakumbukwa kwa kujali wanyonge, wagonjwa, na wa watu wanaotengwa na jamii kutokana na matatizo ya kiafya.
![]()
![]()
Morning motivational.
Hakuna kitu kibaya kama kutokukubalika, kutokusikilizwa, kutopewa kipaumbele, kutokuthaminiwa, kudharauliwa na hali kama hizo..
Mjali mtu kwa nafasi, mehushimu kila mtu !
Transcend
Heshima kwakoooNUKUU YA LEO
The biggest diseaase today is not leprosy or tuberclosis, but rather the feeling of being unwanted
Ugonjwa mkubwa leo hii sio ukoma wala kifuu kikuu, bali ni hali ya kutokukubalika
Haya maneno yalipatwa kusemwa na mtakatifu mama Teresa wa calcutta.
Mama Teresa alizaliwa katika mji wa Anjezë Gonxhe Bojaxhiu nchini macedonia tar. 26/8/1910 na kufariki akiwa na miaka 87, tar. 26/9/ 1997.
Mama Teresa atakumbukwa kwa kujali wanyonge, wagonjwa, na wa watu wanaotengwa na jamii kutokana na matatizo ya kiafya.
![]()
![]()
Morning motivational.
Hakuna kitu kibaya kama kutokukubalika, kutokusikilizwa, kutopewa kipaumbele, kutokuthaminiwa, kudharauliwa na hali kama hizo..
Mjali mtu kwa nafasi, mehushimu kila mtu !
Transcend
Ndo yale wanayogawa bure ofisin mkuuHili gazeti linachekesha sana
Sijui lipo kiruzuku zaidi ndio maana haliangalii idadi ya watakaolinunua maana haliuziki
.....
Karibu mkuuDah ngoja niombe kuishi huu mtaa maana mmmh,,, balozi upoo?
Mkuu bullar nakukosa kwenye anga zakomkuu jana umetelekeza jukwaa., cjakuona au tulipishana
Don't cry shemYou make me cry!!!
Asante mkuuAhsante Katibu lee kwa magazeti
Na Mimi japo ni wajibu kuweka ila ntaliacha kuliwekaNatamanigi hili zageti lisipostiwe!!!
mie![]()
ndukii
It's too late!!Don't cry shem
Bhinamu nakumis ila kesho nakuja gheto mambo yetu yaleeeMjomba lee empire asante kwa magazeti
I know you have to calm downIt's too late!!
Morning love..Morning family
Mornie my handsome
Mornie my husband, my hunie, my sweetie, my love T, hope you are doing great!!!
Have a nice Monday!!!!