Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Shalom mkuuHeshima yenu wakuu!!!??
Shalom mkuuHeshima yenu wakuu!!!??
OyooooAmeeen mkuu nakuona kama kawaida yako
Kwa wiki na siku kadhaa nilikua sioni Gazeti ila leo nimeziona.Udaky![]()
![]()
Mchungaji sio malaika mkuuBwana weeeeee
Mchungaji?
MorningMorning guys mko poa
Niko fresh pimbi...Mchungaji sio malaika mkuu
BTW umeamkaje kisheti
Morning mkubhi.....mkubhi maana yake nini???Heshima yenu wakuu!!!??
Yes hali hiyo humfanya mtu kisaikolojia asiwe sawa kabisa na hupelekea kukata tamaa.NUKUU YA LEO
The biggest diseaase today is not leprosy or tuberclosis, but rather the feeling of being unwanted
Ugonjwa mkubwa leo hii sio ukoma wala kifuu kikuu, bali ni hali ya kutokukubalika
Haya maneno yalipatwa kusemwa na mtakatifu mama Teresa wa calcutta.
Mama Teresa alizaliwa katika mji wa Anjezë Gonxhe Bojaxhiu nchini macedonia tar. 26/8/1910 na kufariki akiwa na miaka 87, tar. 26/9/ 1997.
Mama Teresa atakumbukwa kwa kujali wanyonge, wagonjwa, na wa watu wanaotengwa na jamii kutokana na matatizo ya kiafya.
![]()
![]()
Morning motivational.
Hakuna kitu kibaya kama kutokukubalika, kutokusikilizwa, kutopewa kipaumbele, kutokuthaminiwa, kudharauliwa na hali kama hizo..
Mjali mtu kwa nafasi, mehushimu kila mtu !
Transcend
Ammmh sijaipenda avatar yako kama ile iliyopitaAmeeen mkuu nakuona kama kawaida yako
Tulipishana mkuu kidogo tumkuu jana umetelekeza jukwaa., cjakuona au tulipishana
Nasikia kesho unaleta misuliNiko fresh pimbi...
Baba unakwenda wapi?
Lipumba amezidi na anazitaka pesa za ruzuku piaKweli ni kitu kibaya lakini kuna pipo zinastahili kudharauriwa + kutoheshimiwa na pia hazikubaliki refer to Bashite na Lipumba maana wenyewe hazijiheshimu
Ila ni ving'ang'anizi balaa
.....
Morning mkubhi.....mkubhi maana yake nini???
Maaanaake nija ninalotumia Mimi ....... ........ Humu jamvini!!Owkey nilidhani ni neno lenye maana flan kama handsome![]()
Maaanaake nija ninalotumia Mimi ....... ........ Humu jamvini!!

Chief kamanda in charge uko poaaDr.lee asante kwa magazeti
Mama mchuchu asanteeAsante kwa magazeti Leee ubarikiwe na uwe na siku njema
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Tuko poa Baba mchungajiGoodmorning family, natumai Mmeamshwa salama
Tuko pamojaa mkuuAksante kwa unbelievable facts....heshima kwako mkuu