Makapuku Forum

Makapuku Forum

44d5c160762ab16a33c2c49e342532c7.jpg
Ajira 100k ?
Labda za kubeba zege wkt wa ujenzi
...
 
NUKUU YA LEO

The biggest disease today is not leprosy or tuberclosis, but rather the feeling of being unwanted

Ugonjwa mkubwa leo hii sio ukoma wala kifuu kikuu, bali ni hali ya kutokukubalika

Haya maneno yalipatwa kusemwa na mtakatifu mama Teresa wa calcutta.

Mama Teresa alizaliwa katika mji wa Anjezë Gonxhe Bojaxhiu nchini macedonia tar. 26/8/1910 na kufariki akiwa na miaka 87, tar. 26/9/ 1997.

Mama Teresa atakumbukwa kwa kujali wanyonge, wagonjwa, na wa watu wanaotengwa na jamii kutokana na matatizo ya kiafya.
95f102c73235779db75c2aac8922da4e.jpg


203335bac0e859cba38252b0dcbc37fd.jpg


Morning motivational.

Hakuna kitu kibaya kama kutokukubalika, kutokusikilizwa, kutopewa kipaumbele, kutokuthaminiwa, kudharauliwa na hali kama hizo..

Mjali mtu kwa nafasi, mehushimu kila mtu !

Transcend
 
Naamini mmeamshwa salama,Mungu yu mwema nami nieamshwa salama sifa ,heshima,utukufu na shukurani ni kwa Baba...nawatakia juma takatifu jema huku tukiutafakari wema wa Mungu Baba siku zote za maisha yetu.
Tudumishe upendo,amani,mshikamano na uvumilivu

Amos 3:3 Je! watu wawili waweza kutembea pamoja ,wasipikuwa wamepatana?

Mbarikiwe mtokapo na mbarikiwe kila muingiapo,kazi zetu zibarikiwe,mipango yetu ibarikiwe,wabarikiwe wana wenu nafamilia zenu ..wema wa Mungu uwazunguke daima
Amen Mama.....be blessed too dear
 
Naamini mmeamshwa salama,Mungu yu mwema nami nieamshwa salama sifa ,heshima,utukufu na shukurani ni kwa Baba...nawatakia juma takatifu jema huku tukiutafakari wema wa Mungu Baba siku zote za maisha yetu.
Tudumishe upendo,amani,mshikamano na uvumilivu

Amos 3:3 Je! watu wawili waweza kutembea pamoja ,wasipikuwa wamepatana?

Mbarikiwe mtokapo na mbarikiwe kila muingiapo,kazi zetu zibarikiwe,mipango yetu ibarikiwe,wabarikiwe wana wenu nafamilia zenu ..wema wa Mungu uwazunguke daima
Amen
 
NUKUU YA LEO

The biggest diseaase today is not leprosy or tuberclosis, but rather the feeling of being unwanted

Ugonjwa mkubwa leo hii sio ukoma wala kifuu kikuu, bali ni hali ya kutokukubalika

Haya maneno yalipatwa kusemwa na mtakatifu mama Teresa wa calcutta.

Mama Teresa alizaliwa katika mji wa Anjezë Gonxhe Bojaxhiu nchini macedonia tar. 26/8/1910 na kufariki akiwa na miaka 87, tar. 26/9/ 1997.

Mama Teresa atakumbukwa kwa kujali wanyonge, wagonjwa, na wa watu wanaotengwa na jamii kutokana na matatizo ya kiafya.
95f102c73235779db75c2aac8922da4e.jpg


203335bac0e859cba38252b0dcbc37fd.jpg


Morning motivational.

Hakuna kitu kibaya kama kutokukubalika, kutokusikilizwa, kutopewa kipaumbele, kutokuthaminiwa, kudharauliwa na hali kama hizo..

Mjali mtu kwa nafasi, mehushimu kila mtu !

Transcend
Kweli ni kitu kibaya lakini kuna pipo zinastahili kudharauriwa + kutoheshimiwa na pia hazikubaliki refer to Bashite na Lipumba maana wenyewe hazijiheshimu
Ila ni ving'ang'anizi balaa
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom