Tuko poa chaliii!!! VP wwMorning guys mko poa
Powa. KabisaTuko poa chaliii!!! VP ww
Hili gazeti linachekesha sana
KaribuDah ngoja niombe kuishi huu mtaa maana mmmh,,, balozi upoo?
InshallahJtatu nyingine tena Makapuku, tuwe na wiki njema
mkuu jana umetelekeza jukwaa., cjakuona au tulipishanaHongera Mr frog
161k![]()
![]()
![]()
Maalim Seif kisikiWakuu it's blue Monday ...![]()
Sina hakika kama ni kweli maana ile jumamosi misamaha ilikuwa mingi Insta![]()
Jana almasi iligeuzwa maji nini au convertion reactions ziliishia njiani??
Amen Mama.....be blessed too dearNaamini mmeamshwa salama,Mungu yu mwema nami nieamshwa salama sifa ,heshima,utukufu na shukurani ni kwa Baba...nawatakia juma takatifu jema huku tukiutafakari wema wa Mungu Baba siku zote za maisha yetu.
Tudumishe upendo,amani,mshikamano na uvumilivu
Amos 3:3 Je! watu wawili waweza kutembea pamoja ,wasipikuwa wamepatana?
Mbarikiwe mtokapo na mbarikiwe kila muingiapo,kazi zetu zibarikiwe,mipango yetu ibarikiwe,wabarikiwe wana wenu nafamilia zenu ..wema wa Mungu uwazunguke daima
Ahsante Katibu lee kwa magazetiUdaky![]()
![]()
Poa sana mkuuFamilia yangu uhali gani ?
AmenNaamini mmeamshwa salama,Mungu yu mwema nami nieamshwa salama sifa ,heshima,utukufu na shukurani ni kwa Baba...nawatakia juma takatifu jema huku tukiutafakari wema wa Mungu Baba siku zote za maisha yetu.
Tudumishe upendo,amani,mshikamano na uvumilivu
Amos 3:3 Je! watu wawili waweza kutembea pamoja ,wasipikuwa wamepatana?
Mbarikiwe mtokapo na mbarikiwe kila muingiapo,kazi zetu zibarikiwe,mipango yetu ibarikiwe,wabarikiwe wana wenu nafamilia zenu ..wema wa Mungu uwazunguke daima
Morning daddyGoodmorning family, natumai Mmeamshwa salama
Kweli ni kitu kibaya lakini kuna pipo zinastahili kudharauriwa + kutoheshimiwa na pia hazikubaliki refer to Bashite na Lipumba maana wenyewe hazijiheshimuNUKUU YA LEO
The biggest diseaase today is not leprosy or tuberclosis, but rather the feeling of being unwanted
Ugonjwa mkubwa leo hii sio ukoma wala kifuu kikuu, bali ni hali ya kutokukubalika
Haya maneno yalipatwa kusemwa na mtakatifu mama Teresa wa calcutta.
Mama Teresa alizaliwa katika mji wa Anjezë Gonxhe Bojaxhiu nchini macedonia tar. 26/8/1910 na kufariki akiwa na miaka 87, tar. 26/9/ 1997.
Mama Teresa atakumbukwa kwa kujali wanyonge, wagonjwa, na wa watu wanaotengwa na jamii kutokana na matatizo ya kiafya.
![]()
![]()
Morning motivational.
Hakuna kitu kibaya kama kutokukubalika, kutokusikilizwa, kutopewa kipaumbele, kutokuthaminiwa, kudharauliwa na hali kama hizo..
Mjali mtu kwa nafasi, mehushimu kila mtu !
Transcend
Morning shemMorning family
Mornie my handsome
Mornie my husband, my hunie, my sweetie, my love T, hope you are doing great!!!
Have a nice Monday!!!!
Umeamkaje Mr mboga mboga?Aksante kwa unbelievable facts....heshima kwako mkuu