Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jamani asanteni kwa kunibadilisha mpaka akili aise sio kwa staha na hekima nilionayo saivi

Nikiingia jf chakwanza naangalia makapuku kuna nini? Daah majukwaa kama jamii interijence,siasa za kina bashite , mmu nimesahau mpaka njia ya kuingilia
hahahah na kweli akili yako imebadilika mshukuru sana lee, wakina mondray walikuacha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom