Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaaani;

Nje pako kama giza ndo linaingia hivi..

Afu mvua ndio imekatika sasa hivi..kabaridi ka kutoshaa

Mapazia nimeshusha yooote...joto liko chini kabisaa 17°C

Nimewasha yellow lights za chumbani now..

Afu kuna mziki wa poleee poooleee


Yaaani;

Nje pako kama giza ndo linaingia hivi..

Afu mvua ndio imekatika sasa hivi..kabaridi ka kutoshaa

Mapazia nimeshusha yooote...joto liko chini kabisaa 17°C

Nimewasha yellow lights za chumbani now..

Afu kuna mziki wa poleee poooleee kama huo hapa chini...
Ujue nilivyo Soma tuu hii sms nilisinzia na ndo naamka mpenzi!!!
We ni mtekaji, sio kwa usingizi ulee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom