Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Ameni...Bwana Yesu asifiwe taifa la Mungu.....asalaam aleykum
Waaleykum salaam, khaifa?
Ameni...Bwana Yesu asifiwe taifa la Mungu.....asalaam aleykum
Usiogopee mtu dearShunie na Lee
Mie huku nilipajua siku nyingii ila nilikuwa nawaogopa Kishenzi, ujue mpaka saivi kuna ID ambazo nikiziona bado naogopa !!!
Yaani, weka mbali na watoto mume wangu!!! Usinifanye nije TanzaniaYaani wewe sakayo!
Na hii baridi ya sasa hivi..!
Acha kunitisha basiUsisahauu ripoti sio nzurii
Nitajitahidi shemUsiogopee mtu dear
Inatakiwa uwe na moyo wa uvumilivuAcha kunitisha basi
Wakuu kumekuchaa salama ..tumshukuru aliye juu kwa kutuwezesha kuiona Siku hii muhimu kwetu kwa kafikisha mwaka mmoja ,tunawashukuru founder wote mkuu rais Bitoz asante sana kwa kutuwezesha na sisi tukawa na Sehemu yetu ya kujitawala ...shukrani balozi Bitoz na kapuku wote
Nikiri wazi kuwa Mimi hili jukwaa limekuwa faraja kwangu nikiwepo humu najihisi amani
Unbelievable facts ; makapuku anniversary imeshare na birthday ya MWANANGU Siku ya Leo ..kwa nini nisiipende kapuku ???
Shukrani wakùu
![]()
Happy Birthday KF
Wakuu kumekuchaa salama ..tumshukuru aliye juu kwa kutuwezesha kuiona Siku hii muhimu kwetu kwa kafikisha mwaka mmoja ,tunawashukuru founder wote mkuu rais Bitoz asante sana kwa kutuwezesha na sisi tukawa na Sehemu yetu ya kujitawala ...shukrani balozi Bitoz na kapuku wote
Nikiri wazi kuwa Mimi hili jukwaa limekuwa faraja kwangu nikiwepo humu najihisi amani
Unbelievable facts ; makapuku anniversary imeshare na birthday ya MWANANGU Siku ya Leo ..kwa nini nisiipende kapuku ???
Shukrani wakùu
![]()

Mie ni mvumilivu mnoo, ila kwenye masuala ya mapenzi ndo nashindwa kabisaa!!!Inatakiwa uwe na moyo wa uvumilivu
Amen ubarikiweBwana Yesu asifiwe taifa la Mungu.....asalaam aleykum
Yaaani;Yaani, weka mbali na watoto mume wangu!!! Usinifanye nije Tanzania
Yaaani;Yaani, weka mbali na watoto mume wangu!!! Usinifanye nije Tanzania
Njema karibuHabari za mchana wana wa makapuku!?!?
Amen Madam.....that's BHHAPPY ONE YEAR ANNIVERSARY THANK YOU LORD FOR BRINGING US THIS FAR ..ASANTE MUNGU KWA UMOJA ,UPENDO,MSHIKAMANO,MAELEWANO ,KUJALIANA NA TUNAOMBA UTUJALIE UZIMA ILI TUWEZE KUDUMISHA MSHIKAMANO HUU..ASANTE SANA WOTE WALIOANZISHA JUKWAA HILI NA WANAOSIMAMIA KWA UPENDO NAJISIKIA AMANI KUWA MAHALI HAPA NASHUKURU SANA KWA NAMNA TUNAVYOCHUKULIANA KWA UPENDO..WE BELONG TO EACH OTHER..THANK YOU LORD![]()
1.Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa,
/wakipatana vema na wakipendana/
2.Kama umande mzuri unyweshavyo shamba,
/hivyo na Mungu wetu abariki ndugu/
3.Upendano hujenga boma zuri kwao,
/wakae kwa amani waliookoka/
4.Na ulimwengu wote wavutwa nuruni,
/halafu kundi moja na mchunga mmoja tu/
TUDUMISHE UMOJA WETU:
Waebrania 10:24 tukaangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana katika upendo na kazi nzuri
Mhubiri 4:9,10,12 9 afadhali kuwa wawili kuliko mmoja maana wapata ijara kwa kazi yao
10 kwa maana akianguka mmoja wao atamwinua mwenzake ,lakini ole wake aliye peke yake aangukapo wala hana mngine wa kumuinua........
12hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake ,wawili watampinga wala kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi...
mbarikiwe sanasana ,daima tuombeane
Asante Mkuu Bitoz kwa kuwa mwanzilishi na kutupokea mahali hapa asante wakuu wote mnaoendelea kupafanya mahali hapa kuwa pazuri kwetu wote.
Amen
Asalaam aleykum Kapuku's
Tumsifu Yesu kristo Kapuku's
Bwana Yesu asifiwe Kapuku's
Shalom Kapuku's
Sina mengi ya kuzungumza hapa katika kuadhimisha siku yetu ya leo
Napenda tu kutoa rai kwa Makapuku wenzangu kwamba tudumishe amani, upendo na mshikamano ndio silaha kuu ili kuzidi kuwa bora.
Happy birthday to all Kapuku's for one year.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

AmenWakuu jumapili na Siku yetu vinaenda mwororo
LEO KATIKA HISTORIA:
1937 - Ndege aina ya Kamikaze yatua katika uwanja wa ndege wa Croydon uliopo London.
Inakuwa ndege ya kwanza kutengenezwa Japan kutua Ulaya.
1967 - Ndege ya kwanza ya Boeing 737 yaanza safari yake ya kwanza.
Hii tarehe ina siri gani?.....1969 - Ndege ya kwanza ya Concorde kutoka Uingereza yaanza safari zake.
Baba mchungaji karibu
- Leo ni Mwaka Mmoja wa Makapuku Forum.
Iliasisiwa na Bitoz na Bailly5 bila kumsahau Jimena ikiwa na lengo la kuleta umoja na usawa kwa baadhi ya members ambao sio wakongwe waliokuwa wanabaguliwa na kutengwa pindi wanapochangia katika threads za wanaojiita wakongwe.
Binafsi sikuwepo wakati inaanza nilikuja kujiunga nayo mwezi mmoja baadae lakini mpaka leo sijawahi kujuta, kwani imenikutanisha na watu wengi ambao nimejifunza mengi kwao bila chuki yoyote zaidi ya upendo wa hali ya juu.
Changamoto ni nyingi lakini tunapambana nazo na ndio maana leo tunatimiza mwaka mmoja kwa kishindo cha hali ya juu.
Kwani hakuna aliyeamini kama KF ingefikia hapa ilipo wengi walidhani ingekufa kibudu wakidhani ni nguvu ya soda.
Hivyo basi, leo tukiwa tunasherehekea mwaka mmoja, tufarahi, turukeruke, tujidai kwani haikuwa rahisi kufika hapo.
Nitoe tena pongezi kwa waasisi ambao ni;
Bitoz
Bailly5
Jimena
Pengine bila wao leo hii tusingekuwa hapa.
Heri ya Mwaka Mmoja kwa Makapuku Forum.
