Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakuu kumekuchaa salama ..tumshukuru aliye juu kwa kutuwezesha kuiona Siku hii muhimu kwetu kwa kafikisha mwaka mmoja ,tunawashukuru founder wote mkuu rais Bitoz asante sana kwa kutuwezesha na sisi tukawa na Sehemu yetu ya kujitawala ...shukrani balozi Bitoz na kapuku wote

Nikiri wazi kuwa Mimi hili jukwaa limekuwa faraja kwangu nikiwepo humu najihisi amani

Unbelievable facts ; makapuku anniversary imeshare na birthday ya MWANANGU Siku ya Leo ..kwa nini nisiipende kapuku ???

Shukrani wakùu

d7fc4ee37e5e47e123317bfb5cc37419.jpg
Happy Birthday KF
 
Wakuu kumekuchaa salama ..tumshukuru aliye juu kwa kutuwezesha kuiona Siku hii muhimu kwetu kwa kafikisha mwaka mmoja ,tunawashukuru founder wote mkuu rais Bitoz asante sana kwa kutuwezesha na sisi tukawa na Sehemu yetu ya kujitawala ...shukrani balozi Bitoz na kapuku wote

Nikiri wazi kuwa Mimi hili jukwaa limekuwa faraja kwangu nikiwepo humu najihisi amani

Unbelievable facts ; makapuku anniversary imeshare na birthday ya MWANANGU Siku ya Leo ..kwa nini nisiipende kapuku ???

Shukrani wakùu

d7fc4ee37e5e47e123317bfb5cc37419.jpg
 
Yaani, weka mbali na watoto mume wangu!!! Usinifanye nije Tanzania
Yaaani;

Nje pako kama giza ndo linaingia hivi..

Afu mvua ndio imekatika sasa hivi..kabaridi ka kutoshaa

Mapazia nimeshusha yooote...joto liko chini kabisaa 17°C

Nimewasha yellow lights za chumbani now..

Afu kuna mziki wa poleee poooleee

Yaani, weka mbali na watoto mume wangu!!! Usinifanye nije Tanzania
Yaaani;

Nje pako kama giza ndo linaingia hivi..

Afu mvua ndio imekatika sasa hivi..kabaridi ka kutoshaa

Mapazia nimeshusha yooote...joto liko chini kabisaa 17°C

Nimewasha yellow lights za chumbani now..

Afu kuna mziki wa poleee poooleee kama huo hapa chini...
 
HAPPY ONE YEAR ANNIVERSARY THANK YOU LORD FOR BRINGING US THIS FAR ..ASANTE MUNGU KWA UMOJA ,UPENDO,MSHIKAMANO,MAELEWANO ,KUJALIANA NA TUNAOMBA UTUJALIE UZIMA ILI TUWEZE KUDUMISHA MSHIKAMANO HUU..ASANTE SANA WOTE WALIOANZISHA JUKWAA HILI NA WANAOSIMAMIA KWA UPENDO NAJISIKIA AMANI KUWA MAHALI HAPA NASHUKURU SANA KWA NAMNA TUNAVYOCHUKULIANA KWA UPENDO..WE BELONG TO EACH OTHER..THANK YOU LORD

1.Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa,
/wakipatana vema na wakipendana/

2.Kama umande mzuri unyweshavyo shamba,
/hivyo na Mungu wetu abariki ndugu/

3.Upendano hujenga boma zuri kwao,
/wakae kwa amani waliookoka/

4.Na ulimwengu wote wavutwa nuruni,
/halafu kundi moja na mchunga mmoja tu/

TUDUMISHE UMOJA WETU:

Waebrania 10:24 tukaangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana katika upendo na kazi nzuri

Mhubiri 4:9,10,12 9 afadhali kuwa wawili kuliko mmoja maana wapata ijara kwa kazi yao

10 kwa maana akianguka mmoja wao atamwinua mwenzake ,lakini ole wake aliye peke yake aangukapo wala hana mngine wa kumuinua........

12hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake ,wawili watampinga wala kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi...


mbarikiwe sanasana ,daima tuombeane

Asante Mkuu Bitoz kwa kuwa mwanzilishi na kutupokea mahali hapa asante wakuu wote mnaoendelea kupafanya mahali hapa kuwa pazuri kwetu wote.

Amen
Amen Madam.....that's BH
 
Asalaam aleykum Kapuku's
Tumsifu Yesu kristo Kapuku's
Bwana Yesu asifiwe Kapuku's
Shalom Kapuku's

Sina mengi ya kuzungumza hapa katika kuadhimisha siku yetu ya leo

Napenda tu kutoa rai kwa Makapuku wenzangu kwamba tudumishe amani, upendo na mshikamano ndio silaha kuu ili kuzidi kuwa bora.

Happy birthday to all Kapuku's for one year.
 
- Leo ni Mwaka Mmoja wa Makapuku Forum.

Iliasisiwa na Bitoz na Bailly5 bila kumsahau Jimena ikiwa na lengo la kuleta umoja na usawa kwa baadhi ya members ambao sio wakongwe waliokuwa wanabaguliwa na kutengwa pindi wanapochangia katika threads za wanaojiita wakongwe.

Binafsi sikuwepo wakati inaanza nilikuja kujiunga nayo mwezi mmoja baadae lakini mpaka leo sijawahi kujuta, kwani imenikutanisha na watu wengi ambao nimejifunza mengi kwao bila chuki yoyote zaidi ya upendo wa hali ya juu.

Changamoto ni nyingi lakini tunapambana nazo na ndio maana leo tunatimiza mwaka mmoja kwa kishindo cha hali ya juu.

Kwani hakuna aliyeamini kama KF ingefikia hapa ilipo wengi walidhani ingekufa kibudu wakidhani ni nguvu ya soda.

Hivyo basi, leo tukiwa tunasherehekea mwaka mmoja, tufarahi, turukeruke, tujidai kwani haikuwa rahisi kufika hapo.

Nitoe tena pongezi kwa waasisi ambao ni;
Bitoz
Bailly5
Jimena

Pengine bila wao leo hii tusingekuwa hapa.

Heri ya Mwaka Mmoja kwa Makapuku Forum.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom