Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,294
Yaaah leo anivessary nataka unipe fact kwanini umeniamini?Ongera sana mkuu japo ilikuwa mbinde
Ila mpaka nikakuamini ukawa mlinzi mkuu

Yaaah leo anivessary nataka unipe fact kwanini umeniamini?Ongera sana mkuu japo ilikuwa mbinde
Ila mpaka nikakuamini ukawa mlinzi mkuu

Faiza foxyRais hatakiwi kuwa dikteta.
Naaam nyageiShedebe
Huwezi juaa mzee mkavuYaaah leo anivessary nataka unipe fact kwanini umeniamini?![]()
Mzee mkavu ana ripoti yakooOyaa! Komaaa
Unanijuaje?
Mbona unakata tamaa kirahisi hivyo?Alikuwa anasemaje![]()
![]()
![]()
Kuna masukuma anamfatilia nilisha achana nae
Weka ile ripoti hapa..Naaam nyagei
Alikuwa anasemaje![]()
![]()
![]()
Kuna masukuma anamfatilia nilisha achana nae
Duuuh Shedede kazini
Tunamsubiriaa sakayoMwambie aweke hapa...
Huu ndo muda
Unachelewa sana mkuuNaaam nyagei
Hahahaha nimeipenda hiiYaaah leo anivessary nataka unipe fact kwanini umeniamini?![]()
Hongera sana na karibuJamani asanteni kwa kunibadilisha mpaka akili aise sio kwa staha na hekima nilionayo saivi
Nikiingia jf chakwanza naangalia makapuku kuna nini? Daah majukwaa kama jamii interijence,siasa za kina bashite , mmu nimesahau mpaka njia ya kuingilia
Ujue tunataka kuongeza familia ya kapuku Shedebe anataka kuunganisha mapendo kwa mama FaizaFoxy.
Sijui kwako mzee wa mboga mboga?
naimani huko nyuma yangu na nitafanikiwa