Makapuku Forum

Makapuku Forum

846ac54997be9560f6c6d5f45927cfb3.jpg
 
Jamani asanteni kwa kunibadilisha mpaka akili aise sio kwa staha na hekima nilionayo saivi

Nikiingia jf chakwanza naangalia makapuku kuna nini? Daah majukwaa kama jamii interijence,siasa za kina bashite , mmu nimesahau mpaka njia ya kuingilia
 
Jamani asanteni kwa kunibadilisha mpaka akili aise sio kwa staha na hekima nilionayo saivi

Nikiingia jf chakwanza naangalia makapuku kuna nini? Daah majukwaa kama jamii interijence,siasa za kina bashite , mmu nimesahau mpaka njia ya kuingilia
Hongera sana na karibu

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom