Siku hizi hawang'oi kucha wala kutoboa macho, bali wanakupoteza kabisa!!
Huku utapashindwa kwa staili hizoHa! Ha! Ha! Ha! Si unajua kibao cha mbuzi yake nazi!!
Tuliokulia uswahilini dowezi na mwenye mali tofauti yake mwingine anamiliki mwingine anajiazimisha unapopatikana wasaa. Hakuna ugomvi!!Huku utapashindwa kwa staili hizo
Mali ina mwenyewe
Mwache. Atajifunza the hard way.Huku utapashindwa kwa staili hizo
Mali ina mwenyewe
Mwache. Atajifunza the hard way.
Wakuu mi nalala. Tukutane asubuhi tukiamshwa.
Karibu sana katika ulimwengu wa Kapuku'sTuliokulia uswahilini dowezi na mwenye mali tofauti yake mwingine anamiliki mwingine anajiazimisha unapopatikana wasaa. Hakuna ugomvi!!
Poa usiku mwema na wewe. ingawa SHIMBA YA BUYENZE kanipiga mkwara mzito hadi najua nitalala na maluwe luwe na majinamizi kibao!!Karibu sana katika ulimwengu wa Kapuku's
BTW udowezi sio ishu utatolewa kipapai bure
Usiku mwema Allen
La liga:Ligi kuu Tanzania bara nayo haiko nyuma, mechi ya Mbao vs Simba imesogezwa mpaka Jumatatu
![]()
France league 1
Monaco anaendelea kung'ang'ania kileleni
![]()
Bundesliga
Bayern on fire dhidi ya Dortmund huku RB Leipzig nae akiwa anafuata nyayo za Bayern
![]()
Netherlands EREDIVISIE
![]()
Spain LaLiga
Wakati Madrid derby ikimalizika kwa sare ya 1-1, Malaga anamuadhibu Barcelona 2-0 huku Neymar akipata kadi nyekundu na kuigharimu zaidi timu
![]()
Kenya premier League
![]()
Siku hizi hawang'oi kucha wala kutoboa macho, bali wanakupoteza kabisa!!

Naona yametimia anayemfuata akumbana na dhahma nyingine tenaLa liga:
Madrid vs Madrid real and Atletico
Real Madrid 1-1 Atletico Madrid
Bado BBC imeshindwa kuwa na ule uwiano wake sawia na jina lake.... Bale+Benzema+ Christian. Hawa wanadamu muda unakwenda mbio na wao wanakwenda mbio.... Bale Bado anadaiwa thamani yake katika michezo ambayo inahitaji malipo ya thamani yake... Namna Madrid walivyokuwa katikati kabla Toni Kroos kutoka na namna mapokeo ya Atletico yalivyokuwa baada ya Toni Kroos kutoka ni dhahiri kuwa kiungo Yule alikuwa na umuhimu wa majukumu maana ubize wa mpira eneo la kati kwa Madrid ulipungua sana na tukaanza kuwaona Atletico wakichuku eneo la kati na kufanikiwa kusawazisha goli kupitia eneo hilo hilo...
Making mbovu kabisa kwa upande wa Madrid... Mipira mingi ilikuwa inapotea kirahisi sana hususani kutokana na pasi za mabeki wao wa kati hapa namzungumzia Ramos na Pepe....
Njia pekee ya kumfanya Zidane alale salama ni anayemfuata apate matokeo mabaya tu. Msimu wa lawama wacha tulaumiane tu.
AmenMwache. Atajifunza the hard way.
Wakuu mi nalala. Tukutane asubuhi tukiamshwa.
Asante,tunakupenda Shedede ubarikiwe kwa upendoJamani usiku mwema kwenu
Nawapenda sana jamani
I can't explain