Makapuku Forum

Makapuku Forum

58c60e031e5126955ff585c634477e84.jpg
 
Ligi kuu Tanzania bara nayo haiko nyuma, mechi ya Mbao vs Simba imesogezwa mpaka Jumatatu
ce577806ba47264191c73eb9e09b39fd.jpg

France league 1
Monaco anaendelea kung'ang'ania kileleni
e7289bf712cefba4aaf493fa40d6cef0.jpg

Bundesliga
Bayern on fire dhidi ya Dortmund huku RB Leipzig nae akiwa anafuata nyayo za Bayern
65746f6b4876cc1fc3ea6ecc78fc319c.jpg

Netherlands EREDIVISIE
2da0d325274ed5020589bd8230aaceac.jpg

Spain LaLiga
Wakati Madrid derby ikimalizika kwa sare ya 1-1, Malaga anamuadhibu Barcelona 2-0 huku Neymar akipata kadi nyekundu na kuigharimu zaidi timu
02c03ddcff08d8bf68ebd4cc16087ebf.jpg

Kenya premier League
7e9b69852bda863299a6f19fef4ff1a6.jpg
La liga:

Madrid vs Madrid real and Atletico
Real Madrid 1-1 Atletico Madrid

Bado BBC imeshindwa kuwa na ule uwiano wake sawia na jina lake.... Bale+Benzema+ Christian. Hawa wanadamu muda unakwenda mbio na wao wanakwenda mbio.... Bale Bado anadaiwa thamani yake katika michezo ambayo inahitaji malipo ya thamani yake... Namna Madrid walivyokuwa katikati kabla Toni Kroos kutoka na namna mapokeo ya Atletico yalivyokuwa baada ya Toni Kroos kutoka ni dhahiri kuwa kiungo Yule alikuwa na umuhimu wa majukumu maana ubize wa mpira eneo la kati kwa Madrid ulipungua sana na tukaanza kuwaona Atletico wakichuku eneo la kati na kufanikiwa kusawazisha goli kupitia eneo hilo hilo...

Making mbovu kabisa kwa upande wa Madrid... Mipira mingi ilikuwa inapotea kirahisi sana hususani kutokana na pasi za mabeki wao wa kati hapa namzungumzia Ramos na Pepe....

Njia pekee ya kumfanya Zidane alale salama ni anayemfuata apate matokeo mabaya tu. Msimu wa lawama wacha tulaumiane tu.
 
La liga:

Madrid vs Madrid real and Atletico
Real Madrid 1-1 Atletico Madrid

Bado BBC imeshindwa kuwa na ule uwiano wake sawia na jina lake.... Bale+Benzema+ Christian. Hawa wanadamu muda unakwenda mbio na wao wanakwenda mbio.... Bale Bado anadaiwa thamani yake katika michezo ambayo inahitaji malipo ya thamani yake... Namna Madrid walivyokuwa katikati kabla Toni Kroos kutoka na namna mapokeo ya Atletico yalivyokuwa baada ya Toni Kroos kutoka ni dhahiri kuwa kiungo Yule alikuwa na umuhimu wa majukumu maana ubize wa mpira eneo la kati kwa Madrid ulipungua sana na tukaanza kuwaona Atletico wakichuku eneo la kati na kufanikiwa kusawazisha goli kupitia eneo hilo hilo...

Making mbovu kabisa kwa upande wa Madrid... Mipira mingi ilikuwa inapotea kirahisi sana hususani kutokana na pasi za mabeki wao wa kati hapa namzungumzia Ramos na Pepe....

Njia pekee ya kumfanya Zidane alale salama ni anayemfuata apate matokeo mabaya tu. Msimu wa lawama wacha tulaumiane tu.
Naona yametimia anayemfuata akumbana na dhahma nyingine tena
 
Wakuu kumekuchaa salama ..tumshukuru aliye juu kwa kutuwezesha kuiona Siku hii muhimu kwetu kwa kafikisha mwaka mmoja ,tunawashukuru founder wote mkuu rais Bitoz asante sana kwa kutuwezesha na sisi tukawa na Sehemu yetu ya kujitawala ...shukrani balozi Bitoz na kapuku wote

Nikiri wazi kuwa Mimi hili jukwaa limekuwa faraja kwangu nikiwepo humu najihisi amani

Unbelievable facts ; makapuku anniversary imeshare na birthday ya MWANANGU Siku ya Leo ..kwa nini nisiipende kapuku ???

Shukrani wakùu

d7fc4ee37e5e47e123317bfb5cc37419.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom