Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asante sana japo mi niliingia humu kwakuchelewa lakini tupo pamoja sana

happy bithday makapuku

Ni mwaka mmoja sasa tangu uzaliwe kapuku nimengi unapitia sana lakini bado umesimama imara japo kunachangamoto mbali mbali bado umesimama kidete uishi miaka mingi zaiidi.

Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipo washukuru watu niliowakuta humu makapuku shunie,lee empire,nyagei,billy5,transcend,bitoz,mussolin5,sakayo,mondray,papupi,aisha2016,.......n.k aisee list ni kubwa sana
Japo tulipokeana kwa bashasha la hapa na pale mpaka nikajisainisha humu kapuku na kitanzi nikajivika kama nkurunzinza lakini saivi tupo sawa tunaishi kwa amani sana ......

THE BORD GUARD
Ongera sana mkuu japo ilikuwa mbinde

Ila mpaka nikakuamini ukawa mlinzi mkuu
 
Asante sana japo mi niliingia humu kwakuchelewa lakini tupo pamoja sana

happy bithday makapuku

Ni mwaka mmoja sasa tangu uzaliwe kapuku nimengi unapitia sana lakini bado umesimama imara japo kunachangamoto mbali mbali bado umesimama kidete uishi miaka mingi zaiidi.

Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipo washukuru watu niliowakuta humu makapuku shunie,lee empire,nyagei,billy5,transcend,bitoz,mussolin5,sakayo,mondray,papupi,aisha2016,.......n.k aisee list ni kubwa sana
Japo tulipokeana kwa bashasha la hapa na pale mpaka nikajisainisha humu kapuku na kitanzi nikajivika kama nkurunzinza lakini saivi tupo sawa tunaishi kwa amani sana ......

THE BORD GUARD

"THE BORD GUARD FROM KOLOMIJE"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom