Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Asante mume wangu kipenzi!!Nimekumiss mno mke wangu..
Karibu lunch..
Leo wala nini
Asante mume wangu kipenzi!!Nimekumiss mno mke wangu..
Karibu lunch..
Mlinzi mkuuHamjambo familia yangu
Ongera sana mkuu japo ilikuwa mbindeAsante sana japo mi niliingia humu kwakuchelewa lakini tupo pamoja sana
happy bithday makapuku
Ni mwaka mmoja sasa tangu uzaliwe kapuku nimengi unapitia sana lakini bado umesimama imara japo kunachangamoto mbali mbali bado umesimama kidete uishi miaka mingi zaiidi.
Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipo washukuru watu niliowakuta humu makapuku shunie,lee empire,nyagei,billy5,transcend,bitoz,mussolin5,sakayo,mondray,papupi,aisha2016,.......n.k aisee list ni kubwa sana![]()
![]()
![]()
![]()
Japo tulipokeana kwa bashasha la hapa na pale mpaka nikajisainisha humu kapuku na kitanzi nikajivika kama nkurunzinza lakini saivi tupo sawa tunaishi kwa amani sana ......
THE BORD GUARD
Sijaona pilauWakuu jumapili na Siku yetu vinaenda mwororo
Apa story kula kwenuuSijaona pilau
MmmmhApa story kula kwenuu
Mama leo mchemsho tuu...!Asante mume wangu kipenzi!!
Leo wala nini
Lee kama nakuona ukiita hivi "mlinzi kuu"Mlinzi mkuu
Njoo mama! Afu vile mama mkwe wako alinifundishaga kupika..Mmmmh
Ngoja basi nikale na mume wangu T, then nitarudi
Atakuja na ripoti yake uje umwambie ukweli sakayo ulimpeleka wapi shunieLee kama nakuona ukiita hivi "mlinzi kuu"
naendelea kuusoma mkuu, naona makapuku mnavocheza mpira wa pasi (kampa kampa tena) kama barcelona
dizaini bado wapo kwenye suffer bwege!

True lovenaendelea kuusoma mkuu, naona makapuku mnavyocheza mpira wa pasi ( kampa kampa tena) kama barcelona
dizaini kama bado wapo kwenye suffer bwege!
Hatujambo mti mkavuHamjambo familia yangu
Unaimarisha ulinziNapitia text moja baada ya nyingine haya ni majukumu yangu ya kazi jamani![]()
![]()
![]()
![]()
Alikupokea naniDaaaah
Mie hata sijui nianzie wapi ila niseme tuu happy birthday kapuku!!!
SweetieNjoo mama! Afu vile mama mkwe wako alinifundishaga kupika..
Asante sana japo mi niliingia humu kwakuchelewa lakini tupo pamoja sana
happy bithday makapuku
Ni mwaka mmoja sasa tangu uzaliwe kapuku nimengi unapitia sana lakini bado umesimama imara japo kunachangamoto mbali mbali bado umesimama kidete uishi miaka mingi zaiidi.
Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipo washukuru watu niliowakuta humu makapuku shunie,lee empire,nyagei,billy5,transcend,bitoz,mussolin5,sakayo,mondray,papupi,aisha2016,.......n.k aisee list ni kubwa sana![]()
![]()
![]()
![]()
Japo tulipokeana kwa bashasha la hapa na pale mpaka nikajisainisha humu kapuku na kitanzi nikajivika kama nkurunzinza lakini saivi tupo sawa tunaishi kwa amani sana ......
THE BORD GUARD
DaaaahAtakuja na ripoti yake uje umwambie ukweli sakayo ulimpeleka wapi shunie