Makapuku Forum

Makapuku Forum

10378f4edd3231e05948826ac7d492bf.jpg
 
Michezo..
7cc9a307749d57213706cb9fa6a4926d.jpg



Yanga SC 1-0 MC Alger

Mtaji wa goli moja ni mzuri kwa maana ya kutangulia ila ni mtaji mdogo kwa maana ya mchezo ujao anakuwa mgeni kule uarabuni Algeria...

Performance yenye ubora kutoka kwa Yanga imewafanya wapate matokeo ila imetoa pia burudani.. . GL ukifanikiwa kukifanya kile ulichokifanya kule Zambia unaweza kufika mbele zaidi..
 
La liga:

Madrid vs Madrid real and Atletico
Real Madrid 1-1 Atletico Madrid

Bado BBC imeshindwa kuwa na ule uwiano wake sawia na jina lake.... Bale+Benzema+ Christian. Hawa wanadamu muda unakwenda mbio na wao wanakwenda mbio.... Bale Bado anadaiwa thamani yake katika michezo ambayo inahitaji malipo ya thamani yake... Namna Madrid walivyokuwa katikati kabla Toni Kroos kutoka na namna mapokeo ya Atletico yalivyokuwa baada ya Toni Kroos kutoka ni dhahiri kuwa kiungo Yule alikuwa na umuhimu wa majukumu maana ubize wa mpira eneo la kati kwa Madrid ulipungua sana na tukaanza kuwaona Atletico wakichuku eneo la kati na kufanikiwa kusawazisha goli kupitia eneo hilo hilo...

Making mbovu kabisa kwa upande wa Madrid... Mipira mingi ilikuwa inapotea kirahisi sana hususani kutokana na pasi za mabeki wao wa kati hapa namzungumzia Ramos na Pepe....

Njia pekee ya kumfanya Zidane alale salama ni anayemfuata apate matokeo mabaya tu. Msimu wa lawama wacha tulaumiane tu.
Unamanisha Ngolo Kante' anatakiwa Real Madrid!?!?
Ila haiwezekani koz Chelsea tunampenda sana
 
Wakuu kumekuchaa salama ..tumshukuru aliye juu kwa kutuwezesha kuiona Siku hii muhimu kwetu kwa kafikisha mwaka mmoja ,tunawashukuru founder wote mkuu rais Bitoz asante sana kwa kutuwezesha na sisi tukawa na Sehemu yetu ya kujitawala ...shukrani balozi Bitoz na kapuku wote

Nikiri wazi kuwa Mimi hili jukwaa limekuwa faraja kwangu nikiwepo humu najihisi amani

Unbelievable facts ; makapuku anniversary imeshare na birthday ya MWANANGU Siku ya Leo ..kwa nini nisiipende kapuku ???

Shukrani wakùu

d7fc4ee37e5e47e123317bfb5cc37419.jpg
HAPPY ONE YEAR ANNIVERSARY THANK YOU LORD FOR BRINGING US THIS FAR ..ASANTE MUNGU KWA UMOJA ,UPENDO,MSHIKAMANO,MAELEWANO ,KUJALIANA NA TUNAOMBA UTUJALIE UZIMA ILI TUWEZE KUDUMISHA MSHIKAMANO HUU..ASANTE SANA WOTE WALIOANZISHA JUKWAA HILI NA WANAOSIMAMIA KWA UPENDO NAJISIKIA AMANI KUWA MAHALI HAPA NASHUKURU SANA KWA NAMNA TUNAVYOCHUKULIANA KWA UPENDO..WE BELONG TO EACH OTHER..THANK YOU LORD

1.Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa,
/wakipatana vema na wakipendana/

2.Kama umande mzuri unyweshavyo shamba,
/hivyo na Mungu wetu abariki ndugu/

3.Upendano hujenga boma zuri kwao,
/wakae kwa amani waliookoka/

4.Na ulimwengu wote wavutwa nuruni,
/halafu kundi moja na mchunga mmoja tu/

TUDUMISHE UMOJA WETU:

Waebrania 10:24 tukaangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana katika upendo na kazi nzuri

Mhubiri 4:9,10,12 9 afadhali kuwa wawili kuliko mmoja maana wapata ijara kwa kazi yao

10 kwa maana akianguka mmoja wao atamwinua mwenzake ,lakini ole wake aliye peke yake aangukapo wala hana mngine wa kumuinua........

12hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake ,wawili watampinga wala kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi...


mbarikiwe sanasana ,daima tuombeane

Asante Mkuu Bitoz kwa kuwa mwanzilishi na kutupokea mahali hapa asante wakuu wote mnaoendelea kupafanya mahali hapa kuwa pazuri kwetu wote.

Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom