Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
1975 - Robbie Fowler anazaliwa.
Straika wa zamani wa Liverpool, Leeds United na timu ya taifa ya England.
Straika wa zamani wa Liverpool, Leeds United na timu ya taifa ya England.
na wale wapenzi uliosema jana jioni uanze kutafuta bado piaAtokee wapii
Soon ratiba zitakuja baada ya historia ya leoAsante mkuu kwa update za soka ...keep it up
i love him with all my heartThanks dear i know you love him

Happy birthday to kapuku juniorThanks dear i know you love him
CIA ni hatari sana kwenye hii dunia1992 - Mahakama nchini Marekani inamtia hatiani na kumuhukumu miaka 30 jela Kiongozi wa zamani wa Panama, Manuel Noriega kwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya enzi za utawala wake.
Noriega alikuwa ni kibaraka wa CIA lakini walivyotofautiana tu wakamtoa madarakani.
LEO KATIKA HISTORIA:
1937 - Ndege aina ya Kamikaze yatua katika uwanja wa ndege wa Croydon uliopo London.
Inakuwa ndege ya kwanza kutengenezwa Japan kutua Ulaya.
Morning sis in lawna wale wapenzi uliosema jana jioni uanze kutafuta bado pia
Design ya kwenye matairi iko poa sana![]()
![]()
Kipindi hicho ilionekana km bonge la dege la kijanja![]()
......
Shalom mkuuMungu si Athuman na mimi nimeamka salama. Shunie nakusalimu lakini usimwambie mwenyewe kama nimekusalimu maana nimeambiwa na SHIMBA YA BUYENZE kwamba nitajifunza "the hard way" nikijifanya nakusogelea
1948 - Mauaji ya Mwanasiasa Jorge Gaitan katika kampeni za Uchaguzi Mkuu nchini Colombia zasababisha vurugu za kisiasa nchini humo kwa miaka 10.
Jorge Gaitani alikuwa ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa katika siasa za Colombia.
Shalom! Naona humu ndani kuna mama mchungaji lakini sisikii kengele za ibada zikilia. Au tunashiriki ibada ya kwa Gwajima!?Shalom mkuu
La mwishoniii la moyoniiiHappy one year anniversary of makapuku forum asante sana Bitoz na wengine kwa kuanzisha hii kitu mbarikiwe sana
tunaishi humu kama ndugu, utani kucheka wengine tunajuana sbbu ya hii kitu mbarikiwe sana sana.

morning shemelaMorning sis in law
Mm namshkuru Mungu sijambo sijui wwMungu si Athuman na mimi nimeamka salama. Shunie nakusalimu lakini usimwambie mwenyewe kama nimekusalimu maana nimeambiwa na SHIMBA YA BUYENZE kwamba nitajifunza "the hard way" nikijifanya nakusogelea
Wapenziii??na wale wapenzi uliosema jana jioni uanze kutafuta bado pia
hivi nimemaanisha niniLa mwishoniii la moyoniii
![]()
![]()
![]()
![]()
