BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
umesahau tena shahidi sakayo, shedede na transcend
mpk shedede akasema nimpe kazi akufatilie nikakataa nikamjibu mm kazi yangu nitaifanya mwenyewe

umesahau tena shahidi sakayo, shedede na transcend
mpk shedede akasema nimpe kazi akufatilie nikakataa nikamjibu mm kazi yangu nitaifanya mwenyewe

Kwaherini Bandugu ngoja nirudi kwenye uwanja wetu wapenda Stress, BTW nimeinjoi kuwa nanyi tangu jana. Ila kama kuna shughuli basi nitarudi maana Shughuli ni watu na watu ndiyo sisi. Kama ikibidi nitabeba na rambo kabisa. Ndizi na pilipili huwa ni kawaida natembea nazo!!
Kushinda vitoroli alivyovileta ********?Design ya kwenye matairi iko poa sana
Oyeeee ila umeukimbia uzi wakoLeo ni tarehe April 9, 2017 huu Uzi uliandikwa tarehe kama ya leo ambayo ni April 9, 2016.
Uzi umetimiza mwaka mmoja na comments 160K.
Makapuku oyeeeeeee
halaf kuna mtu huku anakuuliziaga sanaMakapuuuuku Oyeeeeeeee
Nnaona kuna mtu anawazingua huku: https://www.jamiiforums.com/threads/makapuku-forum-ni-forum-ndani-ya-forum.1069224/
AiseeMbona kama unamgwaya hivi. Au maneno ya Shimba ya Buyenze yana kitu ndani yake. Unajua macho yangu nataka kuyatumia 2020 kama mungu ataniwezesha kufika?
Morning mkuu za uzimaMorning wakuu
Kushinda vitoroli alivyovileta ********?
![]()
![]()
![]()
......
Mbarikiwe sana Bailly kwa kuanzisha hii kituLeo ni tarehe April 9, 2017 huu Uzi uliandikwa tarehe kama ya leo ambayo ni April 9, 2016.
Uzi umetimiza mwaka mmoja na comments 160K.
Makapuku oyeeeeeee
Mkuu umeelezea vizuri- Leo ni Mwaka Mmoja wa Makapuku Forum.
Iliasisiwa na Bitoz na Bailly5 bila kumsahau Jimena ikiwa na lengo la kuleta umoja na usawa kwa baadhi ya members ambao sio wakongwe waliokuwa wanabaguliwa na kutengwa pindi wanapochangia katika threads za wanaojiita wakongwe.
Binafsi sikuwepo wakati inaanza nilikuja kujiunga nayo mwezi mmoja baadae lakini mpaka leo sijawahi kujuta, kwani imenikutanisha na watu wengi ambao nimejifunza mengi kwao bila chuki yoyote zaidi ya upendo wa hali ya juu.
Changamoto ni nyingi lakini tunapambana nazo na ndio maana leo tunatimiza mwaka mmoja kwa kishindo cha hali ya juu.
Kwani hakuna aliyeamini kama KF ingefikia hapa ilipo wengi walidhani ingekufa kibudu wakidhani ni nguvu ya soda.
Hivyo basi, leo tukiwa tunasherehekea mwaka mmoja, tufarahi, turukeruke, tujidai kwani haikuwa rahisi kufika hapo.
Nitoe tena pongezi kwa waasisi ambao ni;
Bitoz
Bailly5
Jimena
Pengine bila wao leo hii tusingekuwa hapa.
Heri ya Mwaka Mmoja kwa Makapuku Forum.
Muite Shebedehalaf kuna mtu huku anakuuliziaga sana
hahahhahh unapenda kula ww inaonekanaKwaherini Bandugu ngoja nirudi kwenye uwanja wetu wapenda Stress, BTW nimeinjoi kuwa nanyi tangu jana. Ila kama kuna shughuli basi nitarudi maana Shughuli ni watu na watu ndiyo sisi. Kama ikibidi nitabeba na rambo kabisa. Ndizi na pilipili huwa ni kawaida natembea nazo!!
Nyagei au shededehalaf kuna mtu huku anakuuliziaga sana
Leo ni tarehe April 9, 2017 huu Uzi uliandikwa tarehe kama ya leo ambayo ni April 9, 2016.
Uzi umetimiza mwaka mmoja na comments 160K.
Makapuku oyeeeeeee
ebwana kweli mnaweza kulisongesha, struggle zote na competion ya wakongwe lakin kombe limeenda kwa MAKAPUKU kwa kweli
ShededeNyagei au shedede
Toka kipindi kile mmmhuu siwaamini maana mlinishika sikio vzr
HapanaNi ndege ya kivita?
Oyeee asante Mkuu ubarikiweLeo ni tarehe April 9, 2017 huu Uzi uliandikwa tarehe kama ya leo ambayo ni April 9, 2016.
Uzi umetimiza mwaka mmoja na comments 160K.
Makapuku oyeeeeeee