Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,169
- 48,446
Shunie huyu lee empire ndiye mwenye Hatimiliki ya wewe Almasi isiyoweza kugeuzwa maji?
Ndio maana yule muasisi hakuoaUkienda against nao tu, mama yako atakulilia.
Ooooooh nilimanisha kuongeza walinziumesahau tena shahidi sakayo, shedede na transcend
mpk shedede akasema nimpe kazi akufatilie nikakataa nikamjibu mm kazi yangu nitaifanya mwenyewe
Yule ni FBINdio maana yule muasisi hakuoa
nitafanya hivyoJumamosi ijayo utubu ili Jpili upate kupokea mwili wa bwana wetu Yesu kristo
ni yeyeShunie huyu lee empire ndiye mwenye Hatimiliki ya wewe Almasi isiyoweza kugeuzwa maji?
MmhOoooooh nilimanisha kuongeza walinzi
Aah nimechanganya files mkuuYule ni FBI
Lakini hana tabia ya yule Scorpion wa Buguruni!?ni yeye
Inapobidi ndio hushirikiana.Aah nimechanganya files mkuu
Hivi hawashirikiani kwenye operesheni zao FBI & CIA?
Sawa mkuu tufurahie mwaka mmoja wetuInapobidi ndio hushirikiana.
muulize mwenyeweLakini hana tabia ya yule Scorpion wa Buguruni!?
Mbona niliedit
ilikua too lateMbona niliedit
Mbona kama unamgwaya hivi. Au maneno ya Shimba ya Buyenze yana kitu ndani yake. Unajua macho yangu nataka kuyatumia 2020 kama mungu ataniwezesha kufika?muulize mwenyewe
1992 - Mahakama nchini Marekani inamtia hatiani na kumuhukumu miaka 30 jela Kiongozi wa zamani wa Panama, Manuel Noriega kwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya enzi za utawala wake.
Noriega alikuwa ni kibaraka wa CIA lakini walivyotofautiana tu wakamtoa madarakani.
Note thatMbona kama unamgwaya hivi. Au maneno ya Shimba ya Buyenze yana kitu ndani yake. Unajua macho yangu nataka kuyatumia 2020 kama mungu ataniwezesha kufika?