Makapuku Forum

Word!!
 
Kesho ni mwaka mmoja tangu thread ianzishwe
Statistics zipo hivi,
160K replies
1.8 M ,views

Mxwakani ikitimitza 2 yrs sijui itakuwaje maana kwa reply haina mpinzani na kwa Views kuna thread km mbili tu zenye 2M views tena zimekaa jukwaani muda mrefu kufikisha 2M views hivyo naamini hii thread itakuwa ya kwanza kufikisha 3M views maana ilikuwa ya kwanza kufikisha 100k replies na bado hakuna thread iliyofikisha now tunaelekea 200k replies
Endelea.....
......
 
Vipi mzee wa Empire series tupe nawe yako kuhusu hiyo Empire
In short mkuu

Now imefika season 3 episode ya 12

Lucious kama kawaida yake anaendelea kucheza master plan kama unabomjua hashindwii make he is ready to sacrifice any for his benefit japo aliwashangaza wengi kwa kumtaja Anika as the DNA mother of the company sijajua lengo lake ...

Cookies ; kama kawaida yake suala la family haingizi tofauti zake na lucious she play as a mother japo now penzi la mgombea meya yule Angelo linamsumbua make zile flashback alipotoka na Lyon zinamtesa sana but Angelo anajitahidi sana kumpata cookie

Andre :huyu akili zake unazifahamu he is after something from empire ndo maana ata ukikumbuka enzi zake na Rhonda walikuwa wote after empire
Now anampango wa kumuaa kabisa dingili lake mzee Baba lucious japo bado ni ngumu kutekeleza ...ila kitendo cha kumpata Giuliana naona mission yao itafanikiwa kwa tabu kama Nessa atalisanua ...kumbuka ana kundi la shyne

Anika: japo ana mtoto wa hakeem na licha ya Lyon kumtaja kama DNA wa empire still inaonekana kuna mkakati mkali na mzito yeye pamoja na Tariq ..kumbuka ndo anafatilia kifo cha Frank babake frida

Hakeem: bado akili za utoto unamsumbua japo now ana mtoto kwa anika ila sijui kwa sababu hakubahatika kukumbwa na shida walizopata ndugu zake ...kuanzia kufungwa kwa maza na kurise kwa empire ila familia ishamchoka japo ana kipaji cha ajabu as a rapper

Jamal ; baada ya kuteseka na madawa naona rehab katoka salama na sasa anafokasii kwenye mziki wake japo Dmajor na Phillip wapo njia panda kwenye kumiliki Jamal

In summup Empire iko hot now ....
 
Leo ni mwaka mmoja tangu thread ianzishwe
Statistics zipo hivi,
150+K replies
1.8 M ,views
Mxwakani ikitimitza 2 yrs sijui itakuwaje
......
Replies zinakimbilia 160k now..

Tena leo jioni tunaweza fikisha 160k

Post ziko 159,000 by today..

Ktk hali ya kawaida yawekekana memberz wakaongezeka mara mbili ya sasa hivi..manake watu active humu hawazidi 25..

Lest mwakani wakawepo 60 active..

Hizo post zitadouble..zitafika laki 3 au 4 kabisa..

Replies zitadouble pia, 350k...

Let's have glass of wine
and watch the forum growing..
 
Mkuu huu uzi unachekesha sana
Kuna kipindi unaweza fikiri thread inakufa lakini ghafla wanaibuka makapuku wapya wenye hasira wanakinukisha mbaya

Mi nilikaa chini nikishirikiana na Baily5 nikaamua kuleta kitu ambacho kitaiteka Jf nzima baada ya kugundua watu wengi wamekosa sehemu ya kupiga stori kwa uhuru badala yake wanaharibu thread za watu kwa kuanzisha mazungumzo yao binafsi nje ya mada
sasa thread za members maarufu mtu ukiingia kupiga stori ilikuwa ni km unajipendekeza maana unapotezewa mazima yaani wanapeana kick kivyao wkt hawana swaga

.......
 
Shalom mkuu ubarikiwe
 
Asante kwa nukuu mkuu uwe na siku njema
 
R.I.P Arthur Ashe,alifariki mapema sana 1 year tu au hakunywa ARVs ,Au alijua too late...maswali mengi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…