BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
H.B.D IAN SMITH1919 - Ian Smith anazaliwa.
Alikuwa nibWaziri Mkuu wa kwanza wa Zimbabwe.
H.B.D IAN SMITH1919 - Ian Smith anazaliwa.
Alikuwa nibWaziri Mkuu wa kwanza wa Zimbabwe.
HBD Koffi Annan1938 - Kofi Annan anazaliwa huko Kumasi, Ghana.
Alikuwa ni Katibu Mkuu wa 7 wa Umoja wa Mataifa.
Mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel ya mwaka 2001.
HBD Robert Kiyosaki1947 - Robert Kiyosaki anazaliwa.
Ni mfanyabiashara kutoka nchini Marekani.
Pia ni mtunzi wa kitabu maarufu cha Rich Dad Poor Dad.
Kumbe...huwezi fahamu bila kupata taarifa hii naipenda prison breakHilo jina silitaki kabisa
Huyo scolfied ni gay ndio maana hata nakuwa mvivu kufuatilia hiyo prison break
HBD Mazinho1966 - Mazinho anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil kilichotwaa ubingwa wa kombe la dunia mwaka 1994 pale Marekani.
Ni baba mzazi wa Thiago Alcantara wa Bayern Munich na Rafinha wa Barcelona.
RIP Magreth Thatcher2013 - Margareth Thatcher anafariki Dunia.
Alikuwa Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza. Ndio Mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo.
Alijulikana kama " Iron Lady " kutokana na uongozi wake uliotukuka na wenye msimamo bila kuyumbishwa.
Turudishiwa ROMA tuwape Diamond na WolperGood morning mkuu Bitoz siku njema,tutaitafuta.
Hahahaha kibur chake chote icho kumbe hana helaHii inaitwa mwana ukome
Asante mkuu ubarikiwe kwa historia ,ni kazi njema weekend njema kwako piaLeo Katika Historia:
Niwatakie wikend njema wote.
Amen asantena sisi tunafurahi sana ukiwa happy Mungu azidi kukuweka tunakupenda sana
Mmh!Hii inaitwa mwana ukome
Ndiyo hivyo tenaHahahaha kibur chake chote icho kumbe hana hela
Inaumiza sana jamaniTurudishiwa ROMA tuwape Diamond na Wolper
![]()
![]()
![]()
..
Hongereni kwa kuliona hiloMkuu huu uzi unachekesha sana
Kuna kipindi unaweza fikiri thread inakufa lakini ghafla wanaibuka makapuku wapya wenye hasira wanakinukisha mbaya
Mi nilikaa chini nikishirikiana na Baily5 nikaamua kuleta kitu ambacho kitaiteka Jf nzima baada ya kugundua watu wengi wamekosa sehemu ya kupiga stori kwa uhuru badala yake wanaharibu thread za watu kwa kuanzisha mazungumzo yao binafsi nje ya mada
sasa thread za members maarufu mtu ukiingia kupiga stori ilikuwa ni km unajipendekeza maana unapotezewa mazima yaani wanapeana kick kivyao wkt hawana swaga
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
hongereni sana kwa kubuni hii kitu mmetusaidia na sisi wengine kujiachiaMkuu huu uzi unachekesha sana
Kuna kipindi unaweza fikiri thread inakufa lakini ghafla wanaibuka makapuku wapya wenye hasira wanakinukisha mbaya
Mi nilikaa chini nikishirikiana na Baily5 nikaamua kuleta kitu ambacho kitaiteka Jf nzima baada ya kugundua watu wengi wamekosa sehemu ya kupiga stori kwa uhuru badala yake wanaharibu thread za watu kwa kuanzisha mazungumzo yao binafsi nje ya mada
sasa thread za members maarufu mtu ukiingia kupiga stori ilikuwa ni km unajipendekeza maana unapotezewa mazima yaani wanapeana kick kivyao wkt hawana swaga
![]()
![]()
![]()
![]()
.......